Hao wote wazee, engineer cocastic ni mrembo saana. Yaan nashangaa karembo Kadogo Kama wewe kuwa yangaYanga hamna Warembo!? Mimi umeshawahi kuniona?
Hapa jf warembo wote ni Yanga Mahondaw, Lamomy Shadeeya
Halafu mashabiki wa Simba ndio mna Cocasticπ€£
Sawa mkuu shukrani si unajua hii lugha Yakina gamondi ni ngumu saanaaNi better be mkuu sio better you be(don't speak like a book bro!)
Abunuwasi anaotaTunahitaji kushinda ili ku cement Hilo gape hapo juu liwe clear 6 points tukiwapiga na wao iwe clear 9 points wakikutana na Azam walikipigwa tuweke 12 points tunatangaza ubingwa mapema sana na kupandisha under 21 wapate uzoefu first team iende pre season kabisa
Sana mkuu tunajifunza kupitia kujaribuSawa mkuu shukrani si unajua hii lugha Yakina gamondi ni ngumu saanaa
Ndoto muhimu mkuu hii mechi ni muhimu sana kwetu ili kupata morali ya 20/4Abunuwasi anaota
Hii mechi mnaweza mka draw alafu tarehe 20 mkapigwa Kwa sababu Simba ataingia Kama underdogNdoto muhimu mkuu hii mechi ni muhimu sana kwetu ili kupata morali ya 20/4
Hamna kitu hapo. Zaidi ya mekup na mawighi hamna kitu, hata bure sichukui
Tarehe 20 usikimbie jfπHii mechi mnaweza mka draw alafu tarehe 20 mkapigwa Kwa sababu Simba ataingia Kama underdog
Hamna kitu hapo. Zaidi ya mekup na mawighi hamna kitu, hata bure sichukui
Hizo ni ndotoHii mechi mnaweza mka draw alafu tarehe 20 mkapigwa Kwa sababu Simba ataingia Kama underdog
β€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈ Draw will be good for utoππππππππππππππ
ππππππππππππππ
cocastic ni mrembo balaa! Irene Uwoya mwenyewe haoni ndani!Yanga hamna Warembo!? Mimi umeshawahi kuniona?
Hapa jf warembo wote ni Yanga Mahondaw, Lamomy Shadeeya
Halafu mashabiki wa Simba ndio mna Cocasticπ€£
Na vile maombi yako hayavukagi hata bati!!β€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈ Draw will be good for uto