FT: Tabora United 0 - 0 Azam FC | NBC Premiar Leaguer | A.H. Mwinyi Stadium | 19/02/2023

FT: Tabora United 0 - 0 Azam FC | NBC Premiar Leaguer | A.H. Mwinyi Stadium | 19/02/2023

Bado hujanijibu swali
Unaogopa nini humu? Kama ni simba na mtibwa hata mtibwa nae ni mnufaika wa kiporo kwa inahairishwa upande wa simba tu au ni huo mwiko huko nyuma?
Sema wewe una jibu lako ila swali nishajibu. Mtibwa ananufaika vipi na kiporo, maana inabidi akusubiri www,huoni unampotezea mwenzio match fitness.

"Mwiko huko nyuma...." unaonekana una experience na hivyo vitu au unautaka mwiko.
 
Sema wewe una jibu lako ila swali nishajibu. Mtibwa ananufaika vipi na kiporo, maana inabidi akusubiri www,huoni unampotezea mwenzio match fitness.

"Mwiko huko nyuma...." unaonekana una experience na hivyo vitu au unautaka mwiko.
KWani hanufaiki kwakuwa uwanjani siku hiyo anacheza mwenyewe?
Mwiko ni kauli mbiu yenu wana utopolo daima mbele MWIKO nyuma tangu 1935
 
KWani hanufaiki kwakuwa uwanjani siku hiyo anacheza mwenyewe?
Mwiko ni kauli mbiu yenu wana utopolo daima mbele MWIKO nyuma tangu 1935
Unaweza kutohoa hiyo kauli kwa faida ya mechezo yenu.

Sasa zile siku anazo kusubiri huoni unampotezea match fitness,unawachezaji zaidi ya thelathini unaogopa nini kucheza.
 
Unaweza kutohoa hiyo kauli kwa faida ya mechezo yenu.

Sasa zile siku anazo kusubiri huoni unampotezea match fitness,unawachezaji zaidi ya thelathini unaogopa nini kucheza.
WEWE umefikira ukivyofikiria kwanu huko nyuma hamkuwa na mwiko mpaka sasa
Nani kaogopa au kichwa chako kibovu kama asemavyo haji manara wenye akili huko kwenu ni wawili? Hujaona press release ya tff kuhusu hiyo mechi kuhairishwa?
 
Mkuu Una Matatizo Gani Hivi We Hujui Dar Young Africans Mwaka Jana Amefika Fainali Ipi?

Tanzania Nzima, Africa Yote & Dunia Pamoja Na Mabara Yake Yote Inajua Hahito Kuja Sahaulika Fainali Hiyo Ambayo Dar Young Africans Alimpasua Mwarabu Dakika 90 Katika Ardhi Yake Uarabuni.

Mshindi Akaamuliwa Kwa Goal Advantage Ya Ugenini.

Najua Unaweweseka Maana Dar Young Africans Ameendelea Kukunyoosha Na Kukusuuza Barabara.
Kichwa nnacho mpaka sasa
Jitahidi kutoa huo mwiko huko nyuma mpaka unakutesa unashindwa kukumbuka ulifika fainali mashindano gani
 
WEWE umefikira ukivyofikiria kwanu huko nyuma hamkuwa na mwiko mpaka sasa
Nani kaogopa au kichwa chako kibovu kama asemavyo haji manara wenye akili huko kwenu ni wawili? Hujaona press release ya tff kuhusu hiyo mechi kuhairishwa?
Yale yale kuna wezekano naongea na Tranny. Press release sio issue ni match fitness.Kweli Rage hakukosea Kuwaiti mbumbumbu.
 
Mkuu Una Matatizo Gani Hivi We Hujui Dar Young Africans Mwaka Jana Amefika Fainali Ipi?

Tanzania Nzima, Africa Yote & Dunia Pamoja Na Mabara Yake Yote Inajua Hahito Kuja Sahaulika Fainali Hiyo Ambayo Dar Young Africans Alimpasua Mwarabu Dakika 90 Katika Ardhi Yake Uarabuni.

Mshindi Akaamuliwa Kwa Goal Advantage Ya Ugenini.

Najua Unaweweseka Maana Dar Young Africans Ameendelea Kukunyoosha Na Kukusuuza Barabara.
Siweweseki na timu inayotumia majini wachezaji wake ili tu wateseke kama mnavyoteseka nyie na MWIKO wenu nyuma
 
Back
Top Bottom