Lumbi9 JF-Expert Member Joined Oct 12, 2014 Posts 8,666 Reaction score 12,178 Dec 23, 2023 #81 Kama kipa wako hajawahi kufungwa kwa faulo na azizi ki nyosha kidole juu
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 18,585 Reaction score 16,780 Dec 23, 2023 Thread starter #82 Mpira umechangamka sana.
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 18,585 Reaction score 16,780 Dec 23, 2023 Thread starter #83 33' Tabora United wanamiliki mpira kidogo hapa. Wanapata kona. Inapigwa wananchi wanaondosha mpira kwenye eneo la hatari
33' Tabora United wanamiliki mpira kidogo hapa. Wanapata kona. Inapigwa wananchi wanaondosha mpira kwenye eneo la hatari
uran JF-Expert Member Joined Nov 11, 2013 Posts 10,392 Reaction score 15,948 Dec 23, 2023 #84 Hawa marefa wawe makini kidogo.
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 18,585 Reaction score 16,780 Dec 23, 2023 Thread starter #85 36' Yanga wanapata faulu, nje kidogo ya 18. Anapiga Aziz K. Kipa anaitoa. Inakuwa kona inapigwa haileti madhara. Wakati huo huo Bacca anapewa kadi ya njano.
36' Yanga wanapata faulu, nje kidogo ya 18. Anapiga Aziz K. Kipa anaitoa. Inakuwa kona inapigwa haileti madhara. Wakati huo huo Bacca anapewa kadi ya njano.
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 21,058 Reaction score 36,272 Dec 23, 2023 #86 Yanga tumchape mtu chuma cha pili, yasije kutokea kama ya Miso Misonda Band SC.
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 18,585 Reaction score 16,780 Dec 23, 2023 Thread starter #87 41' Yanga wanapata Kona hapa. Anaipiga Aziz K haileti madhara
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 18,585 Reaction score 16,780 Dec 23, 2023 Thread starter #88 43' Yanga wanapata kona ya 5. Inapigwa inakuwa goli kick
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 18,585 Reaction score 16,780 Dec 23, 2023 Thread starter #89 Kiungo ya Yanga imekatika sana.
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 18,585 Reaction score 16,780 Dec 23, 2023 Thread starter #90 45' Tabora wanapiga kona. Haileti madhara.
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 18,585 Reaction score 16,780 Dec 23, 2023 Thread starter #91 Dakika za nyongeza ni 2 tu
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Dec 23, 2023 #92 Muda wa kuufufua uzi wa mwasibu
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 21,058 Reaction score 36,272 Dec 23, 2023 #93 Numbisa said: Muda wa kuufufua uzi wa mwasibu Click to expand... Watu wameshaufufua huko mkuu.
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 18,585 Reaction score 16,780 Dec 23, 2023 Thread starter #94 45+2' Tabora wanapata faulu nje kidogo ya 18. Wakati huo Mchezaji wao yuko Chini anapatiwa matibabu. Inapigwa faulu haileti madhara.
45+2' Tabora wanapata faulu nje kidogo ya 18. Wakati huo Mchezaji wao yuko Chini anapatiwa matibabu. Inapigwa faulu haileti madhara.
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 18,585 Reaction score 16,780 Dec 23, 2023 Thread starter #95 Half Time Tabora United 0 - 1 Yanga.
Wakipekee JF-Expert Member Joined Aug 21, 2019 Posts 6,194 Reaction score 10,711 Dec 23, 2023 #96 Numbisa said: Muda wa kuufufua uzi wa mwasibu Click to expand... Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Numbisa said: Muda wa kuufufua uzi wa mwasibu Click to expand... Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kiwatengu Platinum Member Joined Apr 6, 2012 Posts 18,585 Reaction score 16,780 Dec 23, 2023 Thread starter #97 Aleyn said: Watu wameshaufufua huko mkuu. Click to expand... 🤣🤣🤣
kelphin JF-Expert Member Joined Dec 24, 2019 Posts 9,872 Reaction score 16,319 Dec 23, 2023 #98 Numbisa said: Muda wa kuufufua uzi wa mwasibu Click to expand... Hadi ateme uji mwasibuu[emoji23][emoji23]
Numbisa said: Muda wa kuufufua uzi wa mwasibu Click to expand... Hadi ateme uji mwasibuu[emoji23][emoji23]
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,020 Reaction score 79,098 Dec 23, 2023 #99 Tukirudi kipindi cha pili Aziz aongeze 2 aondoke na mpira wake basi. Yanga raha.
ukikaidi utapigwa2 JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 15,265 Reaction score 29,991 Dec 23, 2023 #100 Vijana wa Mangungu wametokomea kusiko julikana