FT: Tabora United 0 - 1 Young African SC | Jamhuri Stadium-Dodoma | NBC Premier League | 23.12.2023

Na bado kipindi cha pili ataongeza, iwe wastani wa goli 1 kila mechi.
Na ni midifildi huyo.

Vipi straika la Ukoloni Baleke? 🤣🤣
🤣🤣🤣 Baleke ana 8 kama sikosei
 
Hizo takwimu sijailewa kwamba United wamemiliki zaidi ya Young Africans
 
49'
Tabora United wanapiga faulo haileti impact
 
Tabora wanashambulia kidogo.

Naona kiungo ya Yanga ishachoka.

Babu Kaju leo haonekani
 
52'
Yanga wanapata faulo, anapiga Aziz K
Haileti impact
 
Tabora United wanapiga one two hapa.
Wanaonyesha utulivu sana
 
Tabora wanakosa goli hapa.

Yanga wanafanya uzembe
 
57'
Kona inapigwa na Tabora United: inaondoshwa na sure boy
 
Gamondi imebidi asimame.
Team imeanza kucheza hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…