Faulo,faulu kwani mtihani huo!!36'
Yanga wanapata faulu, nje kidogo ya 18.
Anapiga Aziz K.
Kipa anaitoa.
Inakuwa kona inapigwa haileti madhara.
Wakati huo huo Bacca anapewa kadi ya njano.
Na bado kipindi cha pili ataongeza, iwe wastani wa goli 1 kila mechi.Kwasasa ana magoli 10.
Mechi 11.