Hii ni game ya maridhiano hamna kitu hapa๐ฎ๐ฎ๐ฎSIKU YA MECHI KALI.
MCHEZO: Ligi Kuu Tz Bara
Mwenyeji : Tabora United
Mgeni : Simba Sc
Uwanja : Ali Hassan Mwinyi, Tabora
Muda : Saa 10 Jioni.
View attachment 3221562
Usijali.Hahaaaaaa Moderator msaidieni jamaa kwa kuweka uzi wake na msiunganishe na nyuzi zingine maana jamaa kaamua kupost mapema sana. ๐๐๐๐
Mtu na ndugu yake wanakutana na bwana Rage keshaset mipango m.pesa ishasoma kwa refa na wachezaji msubilie makosa ya kibinadamu kutoka kwa refaWe uliona wapi refarii Amina mlezi wa timu mzee wa kuwaita mbumbumbu halafu simba afungwe
Kabisa.Ndiyo maana wapo robo fainali shirikisho.Na neno kujitafuta ndiyo linawapoteza wengi wanachezea kipigo.Tabora mkishindwa kuifunga hii timu inayojitafuta mtashangaza sana