Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Refa atatubu dhambi zake baada ya mechi.Mtu na ndugu yake wanakutana na bwana Rage keshaset mipango m.pesa ishasoma kwa refa na wachezaji msubilie makosa ya kibinadamu kutoka kwa refa
cc;Napenga Nnauye.