zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
bora ikiwa haijakutana na mwananchi,wakikutana tu kauli zinabadirikaSimba inaendelea kuwa bora sana. Huyu kocha wampe mkataba wa miaka 5 ndo waanze kumfikiria tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora ikiwa haijakutana na mwananchi,wakikutana tu kauli zinabadirikaSimba inaendelea kuwa bora sana. Huyu kocha wampe mkataba wa miaka 5 ndo waanze kumfikiria tena
Refa tena?huyu refa pumbavu zake
kwamba huoni vichekesho vyakeRefa tena?
Mie mautopolo yakicheza game na wachawi mie ndo nakuwa lichawi likuu.Kiukweli mimi ni shabiki wa Yanga na timu yoyote itayocheza dhidi ya Simba. Kiufupi hata ikitokea hawa mabinti wa JF akina binti kiziwi na Bantu Lady wameunda timu yao wakacheza na Simba mimi nitawashangilia tu.
Nafurahi zaidi Simba wanavyofungwa kuliko Yanga wanavyoshinda.
Ya Jana walionyesha,sijui imekuaje leoFawanews ni malofa tu...
Nini kimetokea, mbona mimi nipo huko LiveFawanews ni malofa tu...
Hata kama mkishinda, haimuondolei kuwa ni bora. Ndio maana mpo local ligi yeye kimataifabora ikiwa haijakutana na mwananchi,wakikutana tu kauli zinabadirika
Ya Jana walionyesha,sijui imekuaje leo
Mechi haikuwepo, naona ndo wameweka sasa hivi..Nini kimetokea, mbona mimi nipo huko Live
Wameshaweka...Wameni surprise sana
Nani TenaSimbaSC NguvuMoja 🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Huyu itakua ameingia direct fawanews.com, kuna muda hiyo address huwa inazingua.Nini kimetokea, mbona mimi nipo huko Live