mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
ππππππMkuu punguza kulalamika. Toka mpira unaanza wewe ni kulaumu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππMkuu punguza kulalamika. Toka mpira unaanza wewe ni kulaumu tu.
Calculator zimeanza tenaππIla huyu Camara wa leo Chikola angepata nafasi ya kujaribu angemfunga huyu
Tangu 1934 mpaka leo unao unakutesantautumia tukikutana sina haraka
NyamaNyama nyama nyama
Kwema kipenzi, tunapishana tu humu.Mimi Yanga lialia ππππ hatuonani mrembo wewe binti kiziwi natumai kwema huko.
Joshua Mutale atumie hizi mechi zisizo na presha kutulia na kutafuta kiwango kama kipo badala ya kukimbia kimbia.
Narudia tena..sioni
Hujui mpira..hii mechi haikuwa na presha?!
Kuna kitu kimoja kimeanza kunipa matumaini kwa Mutale. Sasa hivi hana mambo mengi uwanjani, anagusa anaachia. Hii ndiyo njia ilitumika kumrudisha Kibu kipindi kile alipokuwa anazingua.Usikurupuke mkuu, angalia muda mutale alioingia na Simba ilikuwa ikiongoza goli ngapi halafu jihitimishie kuwa presha kama ilikuwepo au la.
Sahihi. Ahoua zaidi ya penati baaaado saaana. Nadhani hata faulo awe anapiga Kibu maana Ahoua hata kuvusha mpira kwenye ukuta bila kupaisha hawezi.Bado hatujapata mbadala wa Chama. Ahoua ana makosa makosa mengi mno.
Usikute ana familia, vijana wa siku hizi wapuuzi sana. Sasa nini kujiliza na midevu yakeView attachment 3223147
Kamdomo kanaponza , jamaa aomba msaada Kwa shetani πππ
Kweli mkuu.Kuna kitu kimoja kimeanza kunipa matumaini kwa Mutale. Sasa hivi hana mambo mengi uwanjani, anagusa anaachia. Hii ndiyo njia ilitumika kumrudisha Kibu kipindi kile alipokuwa anazingua.
Mchezaji anapokuwa amevurugwa, inabidi arudi kwanza kufanya mambo basic tu, halafu confidence ikirudi taratibu na wenge likishatoka ndiyo unamwambia aanze kurudisha vitu vingine taratibu katika uchezaji wake.
Jamaa nilishamkataa ila naanza kupata matumaini.
Kuna muda anakuwa vizuri, kuna muda anakuwa wa kawaida kama vile si mchezaji tegemeo wa club kubwa kama Simba. Anyway, muhimu timu inashinda.Sahihi. Ahoua zaidi ya penati baaaado saaana. Nadhani hata faulo awe anapiga Kibu maana Ahoua hata kuvusha mpira kwenye ukuta bila kupaisha hawezi.
Jana aliharibu move zisizopungua mbili za magoli. Labda tumvumilie maana unaweza kusema bado anatengeneza game yakeKuna muda anakuwa vizuri, kuna muda anakuwa wa kawaida kama vile si mchezaji tegemeo wa club kubwa kama Simba. Anyway, muhimu timu inashinda.
ila tukikutana nautumia kukutesea weweTangu 1934 mpaka leo unao unakutesa
TrueJana aliharibu move zisizopungua mbili za magoli. Labda tumvumilie maana unaweza kusema bado anatengeneza game yake
Ungechomoa ule azam mpaka tabora akausokomeza ndani vizuri unakutesa tuila tukikutana nautumia kukutesea wewe
Mapazia, utalia na kusaga meno huu mwaka.Mbeleko fc
kwan ww wangu uliuchomoaUngechomoa ule azam mpaka tabora akausokomeza ndani vizuri unakutesa tu
Slogan yetu inasema daima mbele mwiko nyuma?π€£kwan ww wangu uliuchomoa
weka ya 5-1Slogan yetu inasema daima mbele mwiko nyuma?π€£View attachment 3223716View attachment 3223718