Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Supu zao za mizogaInabidi Yanga watupe na sisi supu maana tumefanya kazi kubwa ya kuwalipizia kisasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Supu zao za mizogaInabidi Yanga watupe na sisi supu maana tumefanya kazi kubwa ya kuwalipizia kisasi.
Basi watupe hata asali.Supu zao za mizoga
Basi watupe hata asali.
Hao Tabora siyo level za SimbaKinawalamba leo
Nimepitia comments zako kwenye uzi huu, nimefikia hitimisho kuwa inaonekana unaichukia sana Simba SC 😢kupitia marefa mtaiunda vzr sana
sio simba tu hadi marefa wanao ibeba kibwege bwege niko nao moto balaaaNimepitia comments zako kwenye uzi huu, nimefikia hitimisho kuwa inaonekana unaichukia sana Simba SC 😢
nawe umekusanya leo kwa ajili ya mwananchiAlitukusanyia utamu wa nyuma mwiko,azam,black stars na wake tabora then katupea leo wote!! Simba full kukojoa tu, kaunganisha bao tatu zote. Kumbe ukikusanya utamu sehemu nyng unakuwa mtamu sana hahaha
😃😃😀😀Tumewashenyentea walamba asali
Hayo ni maneno ata kwenye khanga yapokwa hisani ya refa
💛💚💛💚💛💚💛💚💛💛💚💛💚Kiukweli mimi ni shabiki wa Yanga na timu yoyote itayocheza dhidi ya Simba. Kiufupi hata ikitokea hawa mabinti wa JF akina binti kiziwi na Bantu Lady wameunda timu yao wakacheza na Simba mimi nitawashangilia tu.
Nafurahi zaidi Simba wanavyofungwa kuliko Yanga wanavyoshinda.
hata ya kusema tunajenga timu ni maneno piaHayo ni maneno ata kwenye khanga yapo
Mimi Yanga lialia 😀😀😀😀 hatuonani mrembo wewe binti kiziwi natumai kwema huko.Kwa bahati nzuri sana mimi pia ninamshangilia yeyote anayemfunga Koło 😀
Sijui kuhusu BL eti Bantu Lady unasemaje dada.
Usikurupuke mkuu, angalia muda mutale alioingia na Simba ilikuwa ikiongoza goli ngapi halafu jihitimishie kuwa presha kama ilikuwepo au la.Narudia tena..sioni
Hujui mpira..hii mechi haikuwa na presha?!
Punguza hasira. Kipindi cha tatu matokeo yatabadilika.Unampenda Chama..mfuate Utopolo huko mpikie Chai mnywe nae
Tabora sio Timu tishio yaani ushabiki naweka pembeni ni WA kawaida magoli ya Yanga yote yalipitia kwa nkane Kocha anaangalia Tu ....WA kawaida au niseme ni Timu ya upepo kama Man u ya EPLKuna watu wanatamani kusema Tabora mbovu ila wakikumbuka🤣🤣🤣🤣