Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Wekeni table, wekeni tableee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wekeni table, wekeni tableee
Kwa kosa ganiMinjingu Jingu ashughulikiwe ipasavyo
Hatari tupu sheikh wakienda tabora mwiko nyuma wanatupa ubingwa mapema tuNa hapo walikuwa nyumbani.
VIzuri kwa kujiridhisha mkuuHaina utata mkuu. Niliona vibaya. Penati halali kabisa. Refa yupo makini.
Ilikuwa halali mkuuPenati ya leo haina tofauti na ile moja ya jana
Hujui mpira..hii mechi haikuwa na presha?!Joshua Mutale atumie hizi mechi zisizo na presha kutulia na kutafuta kiwango kama kipo badala ya kukimbia kimbia.
Huko aliko atakuwa amepata P ya mstukoYule Dem Christina Mwagala afungwe mdomo kbs
Unampenda Chama..mfuate Utopolo huko mpikie Chai mnywe naeBado hatujapata mbadala wa Chama. Ahoua ana makosa makosa mengi mno.
Et move za Dullah zinakua offside lakini wakiwa akina Abdallah wala mikono chini..Sifa si zote kwa mwamuzi wa katikati mshika kibendera Fatma muamala umesoma, kila Tabora wakichomoka kwake ni offside wapi Osman Kazi
Kuna watu wanatamani kusema Tabora mbovu ila wakikumbuka🤣🤣🤣🤣Yacouba Sogne na makambo wakwapi ,Tabora tuna uchu na million 50
Kuna watu wanatamani kusema Tabora mbovu ila wakikumbuka🤣🤣🤣🤣Hongera Sana Simba
Ukweli usemwe tu..siioni Tabora United ya kufungwa na Utopolo