FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

Ninachofurahi mashabiki wa Ivory Coast wana furaha maana hawachelewi kuanzisha vita yakawa mengine. Nadhani ndiyo wamejaza uwanja leo.
Hata mimi nawafuatilia kwa karibu sana. Wanashangilia hovyo alafu hawajulikani wanashangilia nini na team gani.
 
Mlongo na muyako penapa najionea mauza uza tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ge haga mauza uza ulola bwina hinu, koto kulengesa mihu hago, nigana he kukulepulila Pa baadayi, ulola wa mwene.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…