FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

Aisee inasikitisha sana
🤣
Mpira kidogo, maneno meeeeeengiiiii 🤣🤣🤣.

Tanzania hatuna wachezaji wazuri wa ushambuliaji na viungo wa kushambulia tokea kati na tokea pembeni. Ndio maana vilabu vikubwa vya Simba,Yanga, Azam n.k wananunua wachezaji toka nje.







Leo kazi kweli kweli mpaka mods mmecomment 🤣🤣
 
🤣
Mpira kidogo, maneno meeeeeengiiiii 🤣🤣🤣.

Tanzania hatuna wachezaji wazuri wa ushambuliaji na viungo wa kushambulia tokea kati na tokea pembeni. Ndio maana vilabu vikubwa vya Simba,Yanga, Azam n.k wananunua wachezaji toka nje.







Leo kazi kweli kweli mpaka mods mmecomment 🤣🤣
Mod imeemgusa hii,mpaka kaamua kuwa raia.
 
Tatizo Ni pale kwenye kupika magoli na kufunga ndio uwezo wetu wa kufikiri unapoiashia,Fikiria Samatta ndio tegemeo anaogopa kuliface gaoal anarudisha mpira Kwa kipa,Timu imejengeka kutokea Kwa kipa,mabeki na viungo wakabaji,ila viungo washambuliaji na wafungaji Hakuna kitu,pili Kocha Hana upeo wa kuelewa game inataka Nini Kwa Muda gani,uoga bado unatutawala kocha anaogopa kufanya sub ili asifungwe anashindwa kujirupua kuishambulia mpaka upate Goli au penati.
 
Ndoto yangu imetimia kwa asilimia 75 tu. Zambia imefungwa na Morocco, Tanzania haikufungwa na DRC; hayo yametimia ambayo 75%. Ila tumeshindwa kuifunga DRC na kupoteza 25% ya ndoto hiyo ambayo ndiyo inayotutoa nje ya mashindano. Siku nyingine nitaota vizuri zaidi mimi muota ndoto.

 
CAF wenyewe wana fungu kubwa tu kwa timu zinazovuka kila hatua achilia mbali zawadi kwa mshindi. Nadhani wameona wenzao walivyo serious na mashindano ndiyo kidogo wameamka ila motisha ya kufanya vizuri imekuwepo siku zote.
Hawa hawa lipumba au hawa waliojiunga na act
 
Tatizo Ni pale kwenye kupika magoli na kufunga ndio uwezo wetu wa kufikiri unapoiashia,Fikiria Samatta ndio tegemeo anaogopa kuliface gaoal anarudisha mpira Kwa kipa,Timu imejengeka kutokea Kwa kipa,mabeki na viungo wakabaji,ila viungo washambuliaji na wafungaji Hakuna kitu,pili Kocha Hana upeo wa kuelewa game inataka Nini Kwa Muda gani,uoga bado unatutawala kocha anaogopa kufanya sub ili asifungwe anashindwa kujirupua kuishambulia mpaka upate Goli au penati.
Bora wangemchukua yule dogo wa yanga aliesajiriwa majuzi hapa shekhan kama sikosei, dogo ana ujasiri wa kupiga mashuti. Muda wa kufosi goli anapelekwa uwanjani anaweza akaotea moja ya maana, kwa kusema kweli viungo na washambuliaji sijaona hata mmoja aliepiga shuti la maana, cha kusikitisha zaidi sioni kizazi cha wafungaji wa kuokoa jahazi next afcon. Asilimia kubwa ya wachezaji watakua hawa hawa tu. Mabeki ukimtoa tshabalala ambae umri wake halisi una utata kidogo wengine wote watakua kwenye umri sahihi kwaiyo wakirudi hao hao sio mbaya ila kule mbele ndio sioni kizazi cha kuwa-replace samata na msuva. Next afcon tumaini letu litakua shekhan, yanga wamtunze vizuri yule dogo.
 
🤣
Mpira kidogo, maneno meeeeeengiiiii 🤣🤣🤣.

Tanzania hatuna wachezaji wazuri wa ushambuliaji na viungo wa kushambulia tokea kati na tokea pembeni. Ndio maana vilabu vikubwa vya Simba,Yanga, Azam n.k wananunua wachezaji toka nje.







Leo kazi kweli kweli mpaka mods mmecomment 🤣🤣
Hahaaaaa jamaa wamejisikia uchungu maana ni watanzania nao.
 
Mmh kumbe tumechonga droo. Tunaupiga mwingi mkianiiiiiii
 
Mechi vs Zambia was a deal breaker. Huwezi kuwa na numerical advantage halafu unacheza utopolo wa namna ile. Unarudisha mpira nyuma kila dakika, Fei Toto na Himid ni middle wazuri ila back passes kila wanapopata mpira ulikuwa upumbavu mkubwa. Had we won vs Zambia we'd have qualified for knock out stage.

Mzee mwinyi atengue kauli zake before it's too late.
 
Against Morocco: No shot on target

Against Zambia: 2 Shots on target

Against Congo DRC: No shot on target
Inaitwa kuzurura uwanjani, ndio maana mshambuliaji Samatta akachoka mapema.

TFF itoe tangazo la nafasi za kazi kuchezea timu za taifa, beki, winga, washambuliaji, makipa , kwa groups za miaka 15-25. Wawaajiri kama kazi nyingine wawalipe mshahara mzuri.
 
Back
Top Bottom