FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

Haya matokeo yanaonyesha tabia ya watanzania wengi. Yaani hata hivyo tumejitahidi. Hili neno linatuathili sana.

Tunatakiwa kukomaa sio kujitahidi.
 
Tanzania hatuna kabisa uwezo wa kutengeneza winga na washambuliaji, hili ni tatizo kubwa, na ni kwasababu washambuliaji wengi na mawinga kwenye ligi yetu ni wageni.... Ila kwenye viungo na mabeki tupo vizuri, tatizo linaanzia hapa...
Tatizo kubwa naloliona kwa timu yetu ya Taifa ni wachezaji kujisahau

Hili jambo nimekuwa nikiliona linafanyika sana Simba lakini nimekuja kugundua kuwa ni nature ya watanzania

Timu ikishapata goli basi hapo ndip mwanzo wa show game, husling zinapungua ma masihara yanashika hatamu.

Kingine ni kutojiamini.

Haiwezekani katikati ya uwanja unashusha back pass ndefu hadi kwa kipa, hiyo ndio inayotufanya tuone tunamiliki mpira kwa asilimia kubwa kuliko mpinzani, wakati umiliki wenyewe tunaufanya tukiwa kwenye eneo letu.
 
Tatizo kubwa naloliona kwa timu yetu ya Taifa ni wachezaji kujisahau

Hili jambo nimekuwa nikiliona linafanyika sana Simba lakini nimekuja kugundua kuwa ni nature ya watanzania

Timu ikishapata goli basi hapo ndip mwanzo wa show game, husling zinapungua ma masihara yanashika hatamu.

Kingine ni kutojiamini.

Haiwezekani katikati ya uwanja unashusha back pass ndefu hadi kwa kipa, hiyo ndio inayotufanya tuone tunamiliki mpira kwa asilimia kubwa kuliko mpinzani, wakati umiliki wenyewe tunaufanya tukiwa kwenye eneo letu.
Yaani unakuta kabisa huu mpira ni wa kwenda mbele, mtu anarudisha nyuma, shida hii ya kujua kucheza mpira ukubwani.. ukigeuka umegeuka ukirudi umepiga kiatu na mpira unao ww na unasababisha mpira wa adhabu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu hii pesa atailipiaa, atake asitakee.
Pesa yangu huwa haipotei buree, na uzuri Ali bett yeye, mie pesa nlimpa, ko atairudisha km ilivyo.
Naomba tu azime simu mbona ghetto litakuwa chungu
 
Leo Jumatano 24.01.2024.

Tanzania (Taifa Stars) Tunatupa karata yetu ya tatu katika Mashindano haya ya AFCON 2024 kumenyana na Timu ya Taifa ya DR congo mechi ni saa 5 usiku mungu ibariki Tanzania

Kikosi cha Tanzania
View attachment 2881901

Kikosi cha DR Congo fiston mayele kaanza leo

Mpira Umeanza...
Tanzania ndio tumeanza ball hapa.

Dakika ya 5
Tanzania 0-0 DR Congo.

Dakika ya 10
Tanzania 0-0 DR Congo.
Tunaupiga mwingi

Dakika ya 28
Mayele kakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 30
Kona DRC wanapata Kona

Dakika ya 45
imeongezwa Moja hapa ya niongeza

View attachment 2881904View attachment 2882003
Kipindi cha pili kimeanza

Dakika ya 58 tunashambulia sana tunakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 60
DR Congo wanakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 67 congo wanafanya mabadiliko ya wachezi 2 mayele anakwenda nje bakambu anaingia

Dakika ya 71
bado ni 0-0
Tanzania tunafanya mabadiliko anatoka himidi mao anaingia mzamiru yasini

Dakika ya 72
DR Congo wanakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 76
Samatta kachezewa rafu tunaupiga mwingi sana hapa

Dakika ya 77
Congo wamekosa goal la wazi manula katoa mpira wa hatari sana nusu uingie kambani

Dakika ya 78
Feisal Out Kibu In

Dakika ya 81
Bado ni 0-0

Dakika ya 84
DR Congo wanakosa goli la wazi wissa anapaisha mpira

Dakika ya 85
Tanzania tunafanya mabadiliko anatoka msuva na samatta anaingia Charles muhombwa na morice Abraham

Dakika ya 88
Tumekosa nafasi ya wazi

Dakika ya 90 zimeongezwa dakika 4 za niongezaView attachment 2882019
Next time Tanzania tupeleke Wanajeshi wa JWTZ wenye Uchungu tukuka na Uzalendo ili waipiganie na waipambanie nchi.
 
Mechi ya Zambia ndiyo ilikuwa inatubeba tukashindwa kulinda wala kuongeza goli.

Uchezaji na matokeo ya leo yangekuwa na tija kama kikosi kingekuwa serious mechi ya Zambia.
Kwani hii ya DRC tumefaulu Kwa lipi? Nimegundua kitu Kimoja Waswahili wakisikia watu wanacheza Ulaya au kuona ngozi nyeupe mavi yanaginga chupi wanaahindwa kujiamini.

Hiyo Zambia mliyoikomalia ni Kwa vile wachezaji wao wengi wanacheza timu za Afrika
 
Back
Top Bottom