HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,563
- 48,223
KajitahidiIla mwamnyeto ni janga kuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KajitahidiIla mwamnyeto ni janga kuu
Nadhani haya mapokeo mapya ya mpira wa kujihami yanatupeleka pabaya. Utashangaa hata timu za ndondo zinachezesha beki 8 bila kujali mahitaji ya timu ni yapiTupongeze panapofaa kupongezwa, hao kongo wamekuja kusaka point 3, droo ni wamekutana nayo tu.
Mie siangalii matokeo kiujumla, mie natizama mchezo kiujumla, tumeonesha mchezo mzuri, tulivyocheza na morroco sio na zambia, sio na congo, hii game tumeicheza kiume saana
😭😂😂😂RATIBA YA KUPOKEA KIZIMKAZI MODERN TAARABU.
1. hakikisha unavaaa raba nyepesi
2. Vaa pensi au traki suti nyepesi
3. Beba maji
4. Shika bango lako lenye ujumbe kam vile feisal arudi zanzibar kutengeneza biriani na kachori, mwamnyeto arudi tanga kuvua n.k
5.hakikisha kizimkazi wanatangulia mbele pam hioja na dalali morocco.
Maandamano yataanzia airport mpaka ikulu tutakapoenda kugawana pesa zetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]RATIBA YA KUPOKEA KIZIMKAZI MODERN TAARABU.
1. hakikisha unavaaa raba nyepesi
2. Vaa pensi au traki suti nyepesi
3. Beba maji
4. Shika bango lako lenye ujumbe kam vile feisal arudi zanzibar kutengeneza biriani na kachori, mwamnyeto arudi tanga kuvua n.k
5.hakikisha kizimkazi wanatangulia mbele pamoja na dalali morocco.
Maandamano yataanzia airport mpaka ikulu tutakapoenda kugawana pesa zetu.
Hivi tanzania nzima hamna vijana ambao wanajua kucheza namba za washambuliajiTanzania hatuna kabisa uwezo wa kutengeneza winga na washambuliaji, hili ni tatizo kubwa, na ni kwasababu washambuliaji wengi na mawinga kwenye ligi yetu ni wageni.... Ila kwenye viungo na mabeki tupo vizuri, tatizo linaanzia hapa...
Hakuna academies za maana.Tanzania hatuna kabisa uwezo wa kutengeneza winga na washambuliaji, hili ni tatizo kubwa, na ni kwasababu washambuliaji wengi na mawinga kwenye ligi yetu ni wageni.... Ila kwenye viungo na mabeki tupo vizuri, tatizo linaanzia hapa...
Daah, halafu chai ya rangi mia tano, na ukiwa geto halafu kesho hujui unakula nini panawahi kukuchaYaan sirudii tena kubett, uchuro huu sasa.
Khaaaah
Unge bet kwa Morocco na Zambia huko, hahahaaYaan sirudii tena kubett, uchuro huu sasa.
Khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji119]RATIBA YA KUPOKEA KIZIMKAZI MODERN TAARABU.
1. hakikisha unavaaa raba nyepesi
2. Vaa pensi au traki suti nyepesi
3. Beba maji
4. Shika bango lako lenye ujumbe kam vile feisal arudi zanzibar kutengeneza biriani na kachori, mwamnyeto arudi tanga kuvua n.k
5.hakikisha kizimkazi wanatangulia mbele pamoja na dalali morocco.
Maandamano yataanzia airport mpaka ikulu tutakapoenda kugawana pesa zetu.
UchawaJamaa hamna kitu anafanya makosa mengi
Out
Kichwa cha mwendawazi
Shida mnacheza kuonesha mnawezA badala ya kuchezA strategically
Hii game leo tungeshinda
Hivi watz ni waZuri kwenye nn ?
Kutiana tu na umbea
Washenzi wakubwa hao pamoja na makocha Yao , pumbavu zao Bora ufinge ukitafuta magoli kuliko kupaki basi sijui uvumbue nini kwenye mechi ya uamuziNadhani haya mapokeo mapya ya mpira wa kujihami yanatupeleka pabaya. Utashangaa hata timu za ndondo zinachezesha beki 8 bila kujali mahitaji ya timu ni yapi
Hivi tanzania nzima hamna vijana ambao wanajua kucheza namba za washambuliaji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu hii pesa atailipiaa, atake asitakee.Daah, halafu chai ya rangi mia tano, na ukiwa geto halafu kesho hujui unakula nini panawahi kukucha
Hakuna mpira mwingi na washenzi tuu wanapaki basiBado sijashawishika na stars mpira mwingi bila malengo