FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

RATIBA YA KUPOKEA KIZIMKAZI MODERN TAARABU.

1. hakikisha unavaaa raba nyepesi
2. Vaa pensi au traki suti nyepesi
3. Beba maji
4. Shika bango lako lenye ujumbe kam vile feisal arudi zanzibar kutengeneza biriani na kachori, mwamnyeto arudi tanga kuvua n.k
5.hakikisha kizimkazi wanatangulia mbele pamoja na dalali morocco.


Maandamano yataanzia airport mpaka ikulu tutakapoenda kugawana pesa zetu.
 
Underdog wa ukweli aliestahili kutofuzu hatua inayofuata ni Tanzania. Gambia pamoja na kutolewa ila uchezaji wake ni tofauti na hawa underdog wetu.
 
Tupongeze panapofaa kupongezwa, hao kongo wamekuja kusaka point 3, droo ni wamekutana nayo tu.

Mie siangalii matokeo kiujumla, mie natizama mchezo kiujumla, tumeonesha mchezo mzuri, tulivyocheza na morroco sio na zambia, sio na congo, hii game tumeicheza kiume saana
Nadhani haya mapokeo mapya ya mpira wa kujihami yanatupeleka pabaya. Utashangaa hata timu za ndondo zinachezesha beki 8 bila kujali mahitaji ya timu ni yapi
 
RATIBA YA KUPOKEA KIZIMKAZI MODERN TAARABU.

1. hakikisha unavaaa raba nyepesi
2. Vaa pensi au traki suti nyepesi
3. Beba maji
4. Shika bango lako lenye ujumbe kam vile feisal arudi zanzibar kutengeneza biriani na kachori, mwamnyeto arudi tanga kuvua n.k
5.hakikisha kizimkazi wanatangulia mbele pam hioja na dalali morocco.


Maandamano yataanzia airport mpaka ikulu tutakapoenda kugawana pesa zetu.
😭😂😂😂
 
RATIBA YA KUPOKEA KIZIMKAZI MODERN TAARABU.

1. hakikisha unavaaa raba nyepesi
2. Vaa pensi au traki suti nyepesi
3. Beba maji
4. Shika bango lako lenye ujumbe kam vile feisal arudi zanzibar kutengeneza biriani na kachori, mwamnyeto arudi tanga kuvua n.k
5.hakikisha kizimkazi wanatangulia mbele pamoja na dalali morocco.


Maandamano yataanzia airport mpaka ikulu tutakapoenda kugawana pesa zetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tanzania hatuna kabisa uwezo wa kutengeneza winga na washambuliaji, hili ni tatizo kubwa, na ni kwasababu washambuliaji wengi na mawinga kwenye ligi yetu ni wageni.... Ila kwenye viungo na mabeki tupo vizuri, tatizo linaanzia hapa...
Hivi tanzania nzima hamna vijana ambao wanajua kucheza namba za washambuliaji
 
Tanzania hatuna kabisa uwezo wa kutengeneza winga na washambuliaji, hili ni tatizo kubwa, na ni kwasababu washambuliaji wengi na mawinga kwenye ligi yetu ni wageni.... Ila kwenye viungo na mabeki tupo vizuri, tatizo linaanzia hapa...
Hakuna academies za maana.

Bongo kila kitu siasa siasa tu.
 
RATIBA YA KUPOKEA KIZIMKAZI MODERN TAARABU.

1. hakikisha unavaaa raba nyepesi
2. Vaa pensi au traki suti nyepesi
3. Beba maji
4. Shika bango lako lenye ujumbe kam vile feisal arudi zanzibar kutengeneza biriani na kachori, mwamnyeto arudi tanga kuvua n.k
5.hakikisha kizimkazi wanatangulia mbele pamoja na dalali morocco.


Maandamano yataanzia airport mpaka ikulu tutakapoenda kugawana pesa zetu.
[emoji23][emoji23][emoji119]
 
Bado sijashawishika na stars mpira mwingi bila malengo
 

Attachments

  • MMM_010001.png
    MMM_010001.png
    324.2 KB · Views: 3
  • DRC_125626.png
    DRC_125626.png
    283.1 KB · Views: 3
Nadhani haya mapokeo mapya ya mpira wa kujihami yanatupeleka pabaya. Utashangaa hata timu za ndondo zinachezesha beki 8 bila kujali mahitaji ya timu ni yapi
Washenzi wakubwa hao pamoja na makocha Yao , pumbavu zao Bora ufinge ukitafuta magoli kuliko kupaki basi sijui uvumbue nini kwenye mechi ya uamuzi
 
Tatizo lingine kubwa kuliko, wachezaji wote ambao inasemekana ndio wanajua ball wapo simba na yanga, kidooogo Azam... Huwezi jenga timu hapo
Hivi tanzania nzima hamna vijana ambao wanajua kucheza namba za washambuliaji
 
Daah, halafu chai ya rangi mia tano, na ukiwa geto halafu kesho hujui unakula nini panawahi kukucha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu hii pesa atailipiaa, atake asitakee.
Pesa yangu huwa haipotei buree, na uzuri Ali bett yeye, mie pesa nlimpa, ko atairudisha km ilivyo.
 
Back
Top Bottom