Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan sirudii tena kubett, uchuro huu sasa.Kabisa pole sana my
Hakuna bao hapaa. AaaahNgoja gideon kalulu
Hahaha nyau weweHii timu ni kichwa cha Maghayo
Unamaanisha La Taifa..?
KabisaWalioiombea Taifa Stars ishinde tunaomba waiombee na dua ya safari njema wanaporudi
Tanzania hatuna kabisa uwezo wa kutengeneza winga na washambuliaji, hili ni tatizo kubwa, na ni kwasababu washambuliaji wengi na mawinga kwenye ligi yetu ni wageni.... Ila kwenye viungo na mabeki tupo vizuri, tatizo linaanzia hapa...Nadhani hata hiyo droo ni wao walijitengenezea mazingira ya kujirahisishia kwenye michezo iliyopita.
Na ndio maana droo inaleta advantage kwao na sio kwetu.
Lakini kama ulivyosema kuwa tunastahili kujipongeza ni sahihi hata mimi nakubaliana
Hoja ya msingi ni kwanini tujipongeze kwenye kuzuia kufungwa kuliko kujipongeza kwenye ushambuliaji ambako ndio sehemu muhimu kwenye mechi ya do or die?
Bora ushabikie bange zako kuliko hili litiimu hata kosi la The Mongolian Savages haiwezi kufungwa na litimu hili..Hahaha nyau wewe
Wapi SandalandWalioiombea Taifa Stars ishinde tunaomba waiombee na dua ya safari njema wanaporudi
Aiseeeeh poleeee 2M? mie leo niliweka 30kPole, hii afcon ni kiboko, imejua kunifilisi kwa haraka haraka ni kama M 2 hivi wamepita nayo.
Game za
Misri vs msumbiji
Algeria vs angola
Japan vs iraq
Guinea vs ivory coast
Zimenifilisi zimeniacha na vidonda sijui nitaponaje, nilikuwa nishaacha huu mchezo sijui ibilisi gani kaniingia nimecheza huu mchezo [emoji17][emoji17]
Nchi imejaa wakimbizi, hakuna hata wakulipigania taifaJamaa hamna kitu anafanya makosa mengi
Out
Kichwa cha mwendawazi
Shida mnacheza kuonesha mnawezA badala ya kuchezA strategically
Hii game leo tungeshinda
Hivi watz ni waZuri kwenye nn ?
Kutiana tu na umbea