Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #521
😂😁Congo mnataka kuniangusha na nilishawapa pesa yangu?
Wee fanyeni nichukue changu kwa Muhindi, Lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😁Congo mnataka kuniangusha na nilishawapa pesa yangu?
Wee fanyeni nichukue changu kwa Muhindi, Lol
Tulia mfulu aje kukunyoosha.Dahh ata sielewi hvi kweli tunautaka ushindi
Madaku tena 😂😂😂😂Madaku gao taifa star
Tupongeze panapofaa kupongezwa, hao kongo wamekuja kusaka point 3, droo ni wamekutana nayo tu.Pamoja na hayo huu mpira wa malengo
Wenzetu hata wakitoa sare wanapita, so tusijifariji kihivyo kwasababu naamini hii mechi ingekuwa upande wao wakuhitaji matokeo ya alama tatu basi wasingecheza kama sisi
Yaani Mkuu Moroko na Mgunda Kwako Wewe Sio Makocha..?Hii timu haina kocha
Wewe huoni mpaka kipa wao analala?Tupongeze panapofaa kupongezwa, hao kongo wamekuja kusaka point 3, droo ni wamekutana nayo tu.
Mie siangalii matokeo kiujumla, mie natizama mchezo kiujumla, tumeonesha mchezo mzuri, tulivyocheza na morroco sio na zambia, sio na congo, hii game tumeicheza kiume saana
Yaan hadi tumbo linauma pesa yangu c bora ningeweka kesho ningejiendea cafe nikalee mapocho pocho, woiiiiih.[emoji23][emoji16]
Hapa ungekuta timu kama Misri ungefurahi na roho yako jinsi wanavyosaka goli. Sisi tumeridhiiika [emoji1787][emoji23][emoji1787]
kwanini , wamepambana kiume stars?Yaan hadi tumbo linauma pesa yangu c bora ningeweka kesho ningejiendea cafe nikalee mapocho pocho, woiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Congo wapate bao bas, mie nichukue changu kwa Muhindi aaah.Kwa
kwanini , wamepambana kiume stars?