Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samata naye angepumzika sasa.
Anakimbia kimbia hana msaada kwenye kushambuliaOverated hana ishu
Pamoja na hayo huu mpira wa malengoHatujapata on target lakini pia hatujafungwa hata moja katika goli zaidi ya 2 ambazo kuchwani ilikuwa ni rahisi kufikiria "tz leo inakufa si chini ya goli 2"
Vipi kuhusu makocha wazawa bado una msimamo ule ule?
Kulinganisha na yule aliyepewa suspension?? Yeah bado nawaaminiVipi kuhusu makocha wazawa bado una msimamo ule ule?
Kwa huo ujinga ndio maana hawa aminikiWanakosa experience sababu hawaaminiw
Maombi ya wengi yalitaka tusifungweYaani timu inapaki basi kama imeshafuzu au ishashinda tayari wakati inahitaji ushindi tena ndio mechi ya maamuzi 😌
Anakimbia kimbia hana msaada kwenye kushambulia
Huku umeme umerudi nimewasha tv nakuta dkk ya 34 nimeangalia mpaka dakika ya 80 nimeamua kulala tu. Najuta kupoteza usingizi usingizi wangu kuangalia huu upuuziDaah kumamake. Tulio gizani hatuoni kitu!?
Fisiemu wanajua kutubagua kupitia umeme
Samatta mbona kajitoa? Au kaona anawahi vyumbani akachukue mgao wakeYaani Samatta hadi ajitoe mwenyewe