FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

FT: Tanzania 0 - 0 DR congo | AFCON 2024 | Amadou Gon Coulibaly | 24 .01 .2024

Kwa hiyo tukubali mechi tulizopoteza huwenda ilisababishwa na kukosekana kwa ahadi ya kitita kama hamasa?
Siwezi kusema kuwa hiyo ndio sababu kuu, najaribu kuisaka sababu kuu sipati jibu kamili, mara zote huwa naamini kiwango chetu ni kidogo ndio sababu kuu, ila leo wamejitutumua.
 
Naona sasa ni kama tunakata moto, ila kwa hiki walichoonesha inatosha.

Labda mwalimu aongeze nguvu mpya.
 
Back
Top Bottom