Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #441
KabisaIbra Bacca ni beki aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaIbra Bacca ni beki aisee
Siwezi kusema kuwa hiyo ndio sababu kuu, najaribu kuisaka sababu kuu sipati jibu kamili, mara zote huwa naamini kiwango chetu ni kidogo ndio sababu kuu, ila leo wamejitutumua.Kwa hiyo tukubali mechi tulizopoteza huwenda ilisababishwa na kukosekana kwa ahadi ya kitita kama hamasa?
Japo unapozesha sana mashambulizi yetu, hayana kasiHata tu tukifungwa...tumecheza ktk standard ya AFCON
Na hizo Bilioni tunagawana au zinarudi kwa wakimbizi?Hata tu tukifungwa...tumecheza ktk standard ya AFCON
Kila mechi wanafanya hivyo. Kosa ni la kocha au uwezo mdogo wa jamaa zetu hawana mbinu za kusonga mbele.Hizi back pass wanazopiga zinaleta kinyaa!!!
Ndo yupi huyo?Wangempa lango dogo Ati Zigi.
Jamaa mipuuzi kila wakati back pass hayana mbinu tena hayaHizi back pass wanazopiga zinaleta kinyaa!!!
Kipa wa Ghana (Lawrence Ati Zigi).Ndo yupi hiyo?
NAKAZIAIngiza KIBU D