Ndiyo umegundua leo siyo! Ila wakati ule mnamfanyia majungu kwa kumuweka nje bila ya sababu na kukapanga kale kagolikipa kenu namba 3, wala hukugundua!!!Kakolanya ni kipa aisee
Ni ujinga na upuuzi...CAF inabidi watunge sheria kwa hizi tabia za kurusha mafataki, kurusha mipira mitatu mitatu uwanjani au watu kujiangusha hovyo.Una haribu sana ladha ya mpira halafu ni uhuni.
Ipi!?Timu mbovu sana
nakazia.Scars ebu anzisha uzi wa Uganda vs Algeria
Stars.Ipi!?
Wataimprove tu...Stars.
ππππTupatieni Standings..
Novatus DismasAliyetoa assist ni nani wazee!??
Kulikuwa na tetesi za Kakolanya kusajiliwa SingidaNdiyo umegundua leo siyo! Ila wakati ule mnamfanyia majungu kwa kumuweka nje bila ya sababu na kukapanga kale kagolikipa kenu namba 3, wala hukugundua!!!
Yuko team gani!?Novatus Dismas
Anacheza Ubelgiji, sifahamu timuYuko team gani!?