FT: Tanzania 1-0 Niger | AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 18.06.2023

FT: Tanzania 1-0 Niger | AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 18.06.2023

Taifa Stars kwenye hizi dakika za mwisho wanachokifanya kule nyuma, ni kama wamelewa pombe ya kienyeji. Wakiendelea hivi, sare inawahusu.

Ahueni Benno Kakolanya ameonesha uhai wa kutosha tu.
 
Back
Top Bottom