Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama vip waje Jangwani kuchukua kadi wawe wanachama sasa wao walitaka tutangaze mda gani au siku hizi tuna pangiana mda wa kutanga habari za Yanga,yaani ukitaka kujua habari za Yanga muulize shabiki wa Kolo FC.Hizi ndizo akili za mashabiki wa simba.
We dogo huwa unapata hata muda wa kula?Na ndio maana tunataka mpira uishe kwa maana tunajua watu wengi hawajui.
Yanga wametoa taarifa katika ya mechi ili kufanya habari ifichwe na tukio la mechi
Kumbe ile mechi ya watani ilitupa somo kwenye nyakati za maji ya shingo kama hapa??Tunafanya uhuni wa USM ALGER kwa kurusha mipira miwili miwili ndani ya uwanja
NovatusAliyetoa assist ni nani wazee!??
Hamna mtu humoo!Kibu denga anauwa leo
[emoji23][emoji23]Kwani Refa Hajui Kuwa Watu tunakaa Mbali?
Oyaa[emoji23][emoji23]Hamna mtu humoo!
Hawa ball boys wanapewa maelekezo na nani kurusha mipira mingi uwanjani? Tunaiga tabia za kipuuzi za Waarabu, yaani mpira umetushinda hadi tunatumia hila za kijinga kama hizi?
Vv
Pwetelea pweteHawa ball boys wanapewa maelekezo na nani kurusha mipira mingi uwanjani? Tunaiga tabia za kipuuzi za Waarabu, yaani mpira umetushinda hadi tunatumia hila za kijinga kama hizi?
Vv