Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilizani nimeona peke yangu Shabalala na Kapombe kwa Tz hawana mbadala na hamna wa kuwaweka benchi.Pengo la Zimbwe Junior na baba Esther kupeleka mashulambulizi juu linaonekana, tunacheza defensive game kama vile tunatafuta sare.
Yeah, anakipiga huko Serbia ana miaka 19 tuYule namba sita!?
Acha wogaSina Imani Hili Goli Linaweza rudi muda Wowote.
Yopo fresh sana,Yeah, anakipiga huko Serbia ana miaka 19 tu
Hivo hivo sio kujitia kimbelembele kutiana gunduViongozi wa kisiasa wameona kwa kuwa tumewasema sana kwa kujiweka kimbelembele na kusababisha timu kufungwa nao wamefanya kusudi ili ionekane wananchi wameikacha timu yao.
Hamasa sahihi wanaijua inavyotakiwa kuwa ila hawataki kuitumia kwa sababu haiwaweki wao front.
Kuwa mzalendo mkuuAtimae Taifa stars tumebahatisha kupata goli moja kwa bahati kubwa sana.
Bora tumebahatisha,hapo kilichobaki ni kumuombea majanga UgandaAtimae Taifa stars tumebahatisha kupata goli moja kwa bahati kubwa sana.
Mzamiru kafanya kaz gan sasa...ile cross si ya kawaida tuMpishi wa bao ni Mzamiru ila Nevastus mtoa assist kafanya kazi kubwa sana
ukiwa mkweli ndio uzendo.Kuwa mzalendo mkuu
Ni kama goli la bahati tu! lakini goli ni goli tu ndugu yangu lazima tujivune. Tuombe tu lisirudishwe.Dah! Nakosa hata nguvu ya kushangilia hili goli.
Yan kama hawa vibonde mpaka tutegemee bahat bas safari yetu ya soka bado ndefu sanaAtimae Taifa stars tumebahatisha kupata goli moja kwa bahati kubwa sana.
Msuva siku zote huwa anathibitisha kwa vitendo yeye ni professional player.Msuvaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Gooooooooaooooaooooaooooooool