FT: Tanzania 1-0 Niger | AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 18.06.2023

FT: Tanzania 1-0 Niger | AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 18.06.2023

Msuvaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Gooooooooaooooaooooaooooooool
 
Viongozi wa kisiasa wameona kwa kuwa tumewasema sana kwa kujiweka kimbelembele na kusababisha timu kufungwa nao wamefanya kusudi ili ionekane wananchi wameikacha timu yao.

Hamasa sahihi wanaijua inavyotakiwa kuwa ila hawataki kuitumia kwa sababu haiwaweki wao front.
Hivo hivo sio kujitia kimbelembele kutiana gundu

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Mabadiliko yanafanyika

Anatoka Kibu

Anaingia John George
 
Back
Top Bottom