ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,676
- 3,451
Tupatieni Standings..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupatieni Standings..
Kwa hiyo uzalendo ni kusifia vibovu?Wataimprove tu...
Kuwa mzalendo..
Tungemfunga UG hata droo, ilikuwa inatosha kufuzu.
PoaNimepumzika sitaangalia huo mpira
Hapa Uganda watoe tu draw..
Wafungwe goli nyingiHapa Uganda watoe tu draw..
Kuvuka bado ni mtihani na tukivuka kama unavyosema, hawa kina Samatta siyo wa kutuvusha.Tunaenda jiabisha huko Ivory Coast
Kuvuka yawezekana kutokana na matokeo ya Algeria ambapo anaweza uza mechi leoKuvuka bado ni mtihani na tukivuka kama unavyosema, hawa kina Samatta siyo wa kutuvusha.
Ila Algeria si ameshavuka? Yaani Uganda akishinda leo halafu asiruhusu goli, nafasi yetu itakuwa ndogo sana maana Niger hawataweka nguvu kwenye mechi ya mwisho na Uganda.Kuvuka yawezekana kutokana na matokeo ya Algeria ambapo anaweza uza mechi leo
Uganda anataka Draw tu afu amfunge Niger,Ila Algeria si ameshavuka? Yaani Uganda akishinda leo halafu asiruhusu goli, nafasi yetu itakuwa ndogo sana maana Niger hawataweka nguvu kwenye mechi ya mwisho na Uganda.
Hapo bado aisee, tumuombee Uganda njaa tu.
Hapana, akitoka draw halafu TZ akishinda mechi ya mwisho, TZ anavuka.Uganda anataka Draw tu afu amfunge Niger,
Hii ni live table, hiyo mechi ya 5 ya Uganda ndiyo hii inayoendelea sasa hivi.
Uganda anataka Draw tu afu amfunge Niger,
Tukumbuke Mechi ya mwisho tunajipigia na AlgeriaHapana, akitoka draw halafu TZ akishinda mechi ya mwisho, TZ anavuka.
Haina uhakika labda tuwahonge bandari ya Tanga. Halafu kila AFCON sasa tutakuwa tunaingia kwa kubebwa!Tukumbuke Mechi ya mwisho tunajipigia na Algeria
Leta takwimu zake hapa tuwalinganishe wakiwa starsUnpopular opinion:
Msuva huwa anajituma na kung'aa zaidi akiwa na Stars kuliko Samatta