Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko chemba mapumzikoni kapoozwa naona...Refa muhuni huyu
Maana yake Scars anabishana na Tv?Tunangalia mpira kupitia TvE
Sina uwezo wa kutoa ban mkuumkuu usije ukatembeza ban tuh
Kina nani?Ayaaaaa dah wamezingua sana
😂🤣😁😁😁 Mungu ni mwema Leo hii game tunashindaSina uwezo wa kutoa ban mkuu
La msingi ni tuiombee Taifa Stars washinde leo
Yeye anatumia bein sports, mpaka ule mgongano wa Samatta na yule mzambia aliyepewa red card alisikia kishindoMaana yake Scars anabishana na Tv?
Muwe mnasema nini kimetokea. Mnaturusha moyoUpuuzi
uyo mtu na Nusu uyoHuyu sankara huyu sijui sangala huyuuu...
Kuna counter attack hapa TZ tumekosa kutumia vizuriKina nani?
Mbona sielewi mmekuwa wakali au kuna tukio sijaliona?Upuuzi