FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

kama uliangalia mpira vizuri utagundua tulikua hatukabi juu

Zambia wako pungufu Tanzania press wanaitrigger juu karibu na katikati ya uwanja au akienda moja basi anaenda mwenyewe kabisa wakati si sahihi kwa tempo ya mchezo kama ule

Zambia buildup ya nyuma walikua free kabisa walitakiwa wapande juu ili kuwazuia watu kucheza kutokea nyuma
Na hili ndio tatizo kubwa la Jana, tulikuwa hatupress Zambia kwa juu Ili wapige mbele tuchukue mpira

Zambia wakawa free sana kuanza kutengeneza mashambulizi kuanzia nyuma na matokeo yake wakasawazisha.

Sijui kiwango Cha Makocha wetu kilivyo.
 
Sidhani kama ni maelezo ya kocha

Tangu namjua Mgunda kama kocha sijawahi kuona formation wa back passes kama ule
Coaches ndio wana amua timu icheze kwa flow gani sasa kwanini hawakuliona hilo
 
Hii nchi vituko haviishi
1705916364994.jpg
 
kama uliangalia mpira vizuri utagundua tulikua hatukabi juu

Zambia wako pungufu Tanzania press wanaitrigger juu karibu na katikati ya uwanja au akienda moja basi anaenda mwenyewe kabisa wakati si sahihi kwa tempo ya mchezo kama ule

Zambia buildup ya nyuma walikua free kabisa walitakiwa wapande juu ili kuwazuia watu kucheza kutokea nyuma
Mechi ijayo tukupange namba ngapi ili urekebishe hayo mapungufu.
 
Hivi sisi watz investment ktk football tunategemea kupata matokeo mazuri hicho kitu hakipo tusilaunu wachezaji makocha uwekezaji wa long and medium terms huko chini sana angalia kocha kama wa Zambia aliwahi kuwa kocha wa Chelsea hawa akina Mgunda tunawaonea tu
Mkuu we unawaza kama mimi... Wachezaji wenyewe exposure yao kubwa ni kucheza simba na Yanga, km wangekua na uwezo why hawaendi kucheza ulaya km wachezaji wa nchi zingine...tatizo wachezaji wetu akili zao zimeishia kucheza simba na Yanga. Hawana exposure kabisa... Hata wachezaji tuliowaokata ulaya ambao ni angalau ndo kwanza wanacheza madaraja ya chini sana... Zaidi ya Mbwana samatta na yule Mirosho mla umeme hakuna mchezaji mwingine anayecheza ligi kuu ulaya....

Watu wanadai tuwape makocha wazawa timu ya taifa... Sasa hawa akina Mgunda na Morocco Wana potential gani hadi tuwape timu... Watu hawana exposure kabisa zaidi ya kufundisha vitimu km coastal union, mtibwa sugar... Hawana hata ka exposure ka kufundisha hata hapo Burundi....
 
Msuva Ana 35+ lakini bado Ana fitness nzuri sana !
Wachezaji wote wangekuwa na fitness ya bacca na msuva tungeshinda 3-0 !
Hili ni jambo ambalo nilikuwa nawaambia sana watu niliokuwa naangalia nao mpira. Tatizo timu yetu haina fitness, haina confidence when in possession! Ila utagundua hii yote ni athari ya ligi yetu!

Kabla ya kusubiri mpaka tuwe na wachezaji wengi wa kulipwa, kwanza tuanze na kuboresha ligi yetu in terms of demand ya fitness na comfortability ya wachezaji when they are on the ball. Tukiweza kutengeneza identity ya mpira wetu then tutakuwa tayari kwenda kushindana nje.

Ili mpira uwe umeshinda, sitamani tuvuke group stage kwasababu hatustahili! Ila natamani kuona tunatoka tukiwa na zaidi ya point moja tuliyonayo sasa! All in all hata tukibakia na point hii moja basi binafsi sina deni na wachezaji wetu kwakuwa tunachokiomba sasa ni zaidi uwezo wetu, ni kama kumtaka mtu akumbuke kitu ambacho hajawahi kukijua!
 
Nitafurahi sana kama kwenye hili kundi atapita Congo na Zambia.

Bora kuwa mzalendo wa Africa, Black for Africa, Africa for Black.
kwani morocco sio africa, moroco wataongoza kundi, napenda mpira mzuri, bakini na papatupapatu zenu za zam, cod na tz
 
Huo ndiyo mpira wa Mgunda sasa wa boli litembee, back passes kama zote. Ukiwaambia hao hao wachezaji wafanye hangaisha bwege, wanashindwa kupiga hata pasi 3 bila kupoteza mpira, watawezaje sasa kuforce shambulizi.
Mgunda kakufanyia nini?kocha aliyekabidhiwa timu ni Hemed Morocco,wewe umekomaa na Mgunda!
 
Hili ni jambo ambalo nilikuwa nawaambia sana watu niliokuwa naangalia nao mpira. Tatizo timu yetu haina fitness, haina confidence when in possession! Ila utagundua hii yote ni athari ya ligi yetu!

Kabla ya kusubiri mpaka tuwe na wachezaji wengi wa kulipwa, kwanza tuanze na kuboresha ligi yetu in terms of demand ya fitness na comfortability ya wachezaji when they are on the ball. Tukiweza kutengeneza identity ya mpira wetu then tutakuwa tayari kwenda kushindana nje.

Ili mpira uwe umeshinda, sitamani tuvuke group stage kwasababu hatustahili! Ila natamani kuona tunatoka tukiwa na zaidi ya point moja tuliyonayo sasa! All in all hata tukibakia na point hii moja basi binafsi sina deni na wachezaji wetu kwakuwa tunachokiomba sasa ni zaidi uwezo wetu, ni kama kumtaka mtu akumbuke kitu ambacho hajawahi kukijua!
Upo sahihi 100%
 
Mkuu we unawaza kama mimi... Wachezaji wenyewe exposure yao kubwa ni kucheza simba na Yanga, km wangekua na uwezo why hawaendi kucheza ulaya km wachezaji wa nchi zingine...tatizo wachezaji wetu akili zao zimeishia kucheza simba na Yanga. Hawana exposure kabisa... Hata wachezaji tuliowaokata ulaya ambao ni angalau ndo kwanza wanacheza madaraja ya chini sana... Zaidi ya Mbwana samatta na yule Mirosho mla umeme hakuna mchezaji mwingine anayecheza ligi kuu ulaya....

Watu wanadai tuwape makocha wazawa timu ya taifa... Sasa hawa akina Mgunda na Morocco Wana potential gani hadi tuwape timu... Watu hawana exposure kabisa zaidi ya kufundisha vitimu km coastal union, mtibwa sugar... Hawana hata ka exposure ka kufundisha hata hapo Burundi....
Makocha wazawa kwenye clubs wanaletewa kocha wa nje wanae lingana nae vyeti wanakubali kuwa wasaidizi alafu mtu anasema wapewe timu ya taifa
 
Afadhali tumepata point 1.

Kuna yale manyang'ao tunaopakana nao kwenye mikoa ya Arusha na Mara ya.likuwq yanaongea sana na.kutuchekeka, majinga sana.
 
Back
Top Bottom