FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

Kwa match ilivyokuwa ilikuwa ni ya kushinda kabisa. No excuse... Mbele kule watu wana papara hawawasiliani.

Hussein pasi rahisi kwa kibu akawasijui anapiga wapi.

Na wakishangaa tunaongezwa.
Bora tuongezwe labda akili itatukaa sawa
 
Wako pungufu tumeshindwa kupata goal, naona hata waalimu wa mpira Wana matatizo, makocha ni ovyo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…