Imeniuma sana hii, daaah..!Hii mechi imeniuma sana
Hunishindi aiseeHivi kuna mtu anachukia back passes kama mimi?
Natukana mpaka sauti inaisha.
Atafutwe aliyetuambia sisi ni kichwa cha mwendawazimu.Jamani tusiwatukane hawa wachezaji wetu tuwashukuru tu ila tufahamu hapo ndio uwezo wao wa mwisho kabisa ulipofika..
Kama tunataka kuperform vyema lazima tff na wadau wa soka wafanye kazi ya ziada jamani.
Sio kuchapwa tu, na zaidi ya kuchapwaWachezaji wa Tz wanatakiwa kuchapwa πππ
Una kasirika ishu za kijingaπ€£Hii timu inatia hasira sana
Tunajifanya ArsenalBack passes, ndio mchezo wetu.
Kabisa na wapigwe viboko 7Wachezaji wa Tz wanatakiwa kuchapwa πππ
Mashabiki au players?Oh! Pole.. ππππππ next time muwe serious
Bora we useme. Wengine tukisema tunaambiwa hatuangalii mpira.Tshabalala hajielewi. Back pass kila muda. Pumbavu