Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Nakazia 📌Kesho tungesikia mengi
Utasikia ooh Pongezi Kwa Serikali ya awamu ya sita.
Mara Samatta kafanya maajabu .
Asante Zambia mmetupunguzia kelele mtaani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia 📌Kesho tungesikia mengi
Utasikia ooh Pongezi Kwa Serikali ya awamu ya sita.
Mara Samatta kafanya maajabu .
Asante Zambia mmetupunguzia kelele mtaani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Stars wamecheza vizuri sana leo na wamemiliki mpira mwanzo mwisho na kupoteza nafasi 2 muhimu ambazo yalikua ni magoli ya wazi kabisa. Natumaini kocha suleiman mmoroko atarekebisha mechi ya mwisho tunamchapa Congo.
KabisaMUDATHIR, FEISAL WARUDI PAJE KULIMA KARAFUU, MANULA ARUDI MORO KUNA MASHAMBA MAKUBWA KULE, MWAMNYETO ARUDI TANGA AKACHEZE BAO.
Kumbe na mods huwa wanajichanganya na raia wa kawaida ? Makubwa! 😁😁😁Hee
Hadi cookie kafurahia comeback ya Zambia🔥
Ahsante.hongereni
Hadi umekuja kuchatWewe..... usilinishe maneno
Nilimpenda Magufuli, siyo CCM.Unaipenda Ccm huku unaichukia Taifa Stars.....unafiki huu
Utasikia tunaipongeza CCMNakazia 📌
Nasema kwa sababu nimeona uwezo wa stars leo. Wamecheza vizuri sana na wameumiliki mpira dakika zote 90 .mistakes huwa zinatokea lakini kiukweli taifa stars wamepiga mpira mzuri sana. Kocha atarekebisha next game tukiongeza uwezo kidogo tu zaidi ya leo tunaitoa Congo.MKUU KWA MTU ANAYEPENDA TAIFA LAKE LAZIMA ASEME UKWELI.
TUSEME UKWELI SERIKALI IFANYE UWEKEZAJI NA SI KUOMBA DUA HAYO NI MAMBO YA KIJINGA.
KAMA UNASEMA TZ ATAMSHINDA CONGO SEMA HAPA ILI TUJUANE
Sawa.Mpira haupo hivyo wewe.
Hata wewe ungekuwa unacheza na watu goi goi namna ile ungekata tamaa?Zambia nimewakubali pamoja na kufungwa goli la mapema na kadi nyekundu hawakukata tamaa. Safi Sana.
Makubwa jinga ya kundi F😂Tunaenda kuwapokea airport
Da aisee kweli tumetofautiana kuonaNasema kwa sababu nimeona uwezo wa stars leo. Wamecheza vizuri sana na wameumiliki mpira dakika zote 90 .mistakes huwa zinatokea lakini kiukweli taifa stars wamepiga mpira mzuri sana. Kocha atarekebisha next game tukiongeza uwezo kidogo tu zaidi ya leo tunaitoa Congo.
KabisaUtasikia tunaipongeza CCM
Awamu ya sita imewezesha taifa stars kupita hatua za makundi.