Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hojaNgoma bado mbichi hii. Wangefunga lingine moja labda...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaNgoma bado mbichi hii. Wangefunga lingine moja labda...
Dakika ya 66Dakika ya ngapi? Nimechoka kubana pumb#@u
Ha ha ha kazana mkuu bado parefu 66 kama umechoka kuzishika muite akusaidie kuzibanaDakika ya ngapi? Nimechoka kubana pumb#@u
Naona kama kibu abaki maana anatishia bek za ZambiaToa kibu weka mbombwa
au Hata yule mwingine ambae anacheza championshipToa kibu weka mbombwa
PumbavuTuna timu mbovu sana, nothing to brag about.
Bado nyingiDakika ya 66
Wachezaji wa Taifa stars wamerudi katika factory reset, Samata anapoteza mipira, Kibu D anapoteza mipira, Mwanyeto nae anapoteza mipira. Sijui ndio kuchokaBeki la utopilo lilitaka kutufungisha
Mpira hauko hivyo, utashangaa Zambia wanamfunga Morocco.Mkuu walitoka draw na Congo ambao wametoka draw na Morocco ambao walitupiga tatu
Refa tena?????Samata kachoka, refa anatakiwa alione hilo na afanye maamuzi
PumbavuDakika ya ngapi? Nimechoka kubana pumb#@u