Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
😁🤣🤣🤣 wazalendo njoeni huku tupewe barafuMpange foleni hapa nianze kuwakanda makoo 😂😂😂
Nikimaliza niwaongoze toba. Maana najua mmetukana sana leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁🤣🤣🤣 wazalendo njoeni huku tupewe barafuMpange foleni hapa nianze kuwakanda makoo 😂😂😂
Nikimaliza niwaongoze toba. Maana najua mmetukana sana leo
Angalau tukalale bila kelele😍😍😍MGUNDA KITAMBI KIMESHUKA LEO
Tunashinda nakuhakikishia Congo tunawachapa .kikosi kipo vizuri sana.
Anazingua huyoTimu yote inapiga back pass umeona mzamiru tuu?
Bora tumeambulia point 1 na Goli 1 Wazambia wanadharau sana walisema wana uhakika wa wakupata point 3 kwa Taifa Stars
Wewe ulivyoangalia wamecheza vibaya?Utasikia ... mmecheza vizuri wanangu ...
Bora tufungwe tukiwa na wachezaji wasiojulikana.Sijui why huwa anazembea ifikie mahali timu ivunjwe wacheze wachezaji wa klabu za ihefu...mtibwa...na wengineo hawa Simba na Yanga na wa huko nje wasicheze...
Akizaa ndama anakufa dakika za majeruhiNg'ombe wa masikini azai na akizaa anazaa tasa
WARUDI TU TUPIGE POROJO ZA SIMBA NA YANGA. SIONI DALILI YA KUWAFUNGA CONGO. SANA SANA TUTADRAW TENA NDO MWISHO WETUMkuu walitoka draw na Congo ambao wametoka draw na Morocco ambao walitupiga tatu
Full Time
Zambia wasingepata kadi nyekundu wangetupiga 3Zambia nimewakubali pamoja na kufungwa goli la mapema na kadi nyekundu hawakukata tamaa. Safi Sana.
Fanyeni fasta fasta nataka kulala. Ila bora mmekosa sbb mngetupigia sana kelele. Si unajua zile maskini akipata?😁🤣🤣🤣 wazalendo njoeni huku tupewe barafu
Hii kitu sijui kama makocha huwa wanafundisha hivyo yani wachezaji wao kila wakipokea mpira ni back pass au kubutua inakera sanaTimu yote inapiga back pass umeona mzamiru tuu?
Hebu muulize...kuhusu kucheza leo wamejitahidi mnooo...sema tuu kukosa mbinuWewe ulivyoangalia wamecheza vibaya?
Nachukia sana huu upumbavu, sasa hv waseme tunafungwa mana mama samia anaupiga mwingiWale watangazaji wa Azam walikuwa wameanza ujinga wa kusifia.
Wachawi hamkosekani popoteHAKUNA TIMU YA KUSHINDANA NA CONGO KWA KIKOSI HICHI.
YAANI CONGO NDO TUTAPIGWA KAMA MBWA
Wamepewa foul karibu na 18.. eti wanajifanya wao ni brazil wanaanza kwa back pass.. haaaaaFeisal back pass
Mudathir back pass
Himid back pass
Mzamiru back pass
Msuva back pass
Kibu back pass
Such a disgrace mazee, Ujinga mtupu hahaha
Wale watangazaji wa Azam walikuwa wameanza ujinga wa kusifia.