Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Tutampongeza Mama kwa point moja hii hii iliyopatikana
Hakuna namna.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutampongeza Mama kwa point moja hii hii iliyopatikana
Ile red card iliwatoa kwenye mchezoIla wale jamaa watatu wa Zambia ni hatari Fashion Sinkala, Lameck Banda na Patson Daka.
Hukuona malengo yao ni kupaki busMimi ni mmoja wao ambao tuliamini tulikuwa na nafasi nzuri sana ya kumfunga Zambia leo kabla ya mechi na wakati wa mechi.
Matumanini yangu yalianza kukata kipindi cha pili kilipoanza nilipoona timu inacheza bila malengo.
Ngoja siku watakayocheza na Morocco ndiyo utaamini maneno yangu.Mnalingana na Zambia ipi? Watu kumi mnatoka nao droo unadai mnalingana?
Jana ilitakiwa Zambia washindeNitafurahi sana kama kwenye hili kundi atapita Congo na Zambia.
Bora kuwa mzalendo wa Africa, Black for Africa, Africa for Black.
fashion ni vinicius mtupuIla wale jamaa watatu wa Zambia ni hatari Fashion Sinkala, Lameck Banda na Patson Daka.
Yani nimesikitika sana jana, timu haiwezi kufosi kupeleka mpira mbele. Pass nyingi zinapigwa kurudi nyuma! Kuna muda pasi imetoka katikati karibia timu nzima ipo mbele, sijui ni mzamiru yule akarudisha mpira mpaka kwa manula wakat angeweza kupeleka mbele, aisee nilishangaa sana! Watu wote waliokuwa pale wanaangalia mpira wakabaki wanalaani tu!Mkuu sio kwenye afcon ni duniani Tanzania inaongoza kwa back pass alafu inafwatiwa na Man u
Wangejifunza hata boli kwa Yanga ya kina Pacome!🤣...Nilikua naona mipira mingi wachezaji wetu wanarudisha nyuma nikawa najiuliza shida nini? Kwamba wanashindwa kufosi na ku create nafasi mbele. Bado hatujafikia level ya kuwa professional.Yani nimesikitika sana jana, timu haiwezi kufosi kupeleka mpira mbele. Pass nyingi zinapigwa kurudi nyuma! Kuna muda pasi imetoka katikati karibia timu nzima ipo mbele, sijui ni mzamiru yule akarudisha mpira mpaka kwa manula wakat angeweza kupeleka mbele, aisee nilishangaa sana! Watu wote waliokuwa pale wanaangalia mpira wakabaki wanalaani tu!
Kweli kabisa!! inabidi wajifunze sana. Kuna game nilicheki ilikuwa sijui ni burkina faso/guinea au timu gani ile madogo wanacheza mpira kwa spirit, wanafosi kupandisha mashambulizi. Taifa stars warudishwe nyumbani waekewe hiyo game waangalie waone wenzao wanavyocheza sio vioja wanavyofanya. Game ya jana ilikuwa yetu kabisa ujinga wetu ndio maana tumesuluhu.Wangejifunza hata boli kwa Yanga ya kina Pacome![emoji1787]...Nilikua naona mipira mingi wachezaji wetu wanarudisha nyuma nikawa najiuliza shida nini? Kwamba wanashindwa kufosi na ku create nafasi mbele. Bado hatujafikia level ya kuwa professional.
Wachezaji hawajui wanataka kufanya nini uwanjani.
Guinesa Bissau dhidi ya GambiaKweli kabisa!! inabidi wajifunze sana. Kuna game nilicheki ilikuwa sijui ni burkina faso/guinea au timu gani ile madogo wanacheza mpira kwa spirit, wanafosi kupandisha mashambulizi. Taifa stars warudishwe nyumbani waekewe hiyo game waangalie waone wenzao wanavyocheza sio vioja wanavyofanya. Game ya jana ilikuwa yetu kabisa ujinga wetu ndio maana tumesuluhu.
Ile game ilikuwa kibabe sana. Viatu viliumana, makosa sio mengi, unaona kabisa watu wanatafuta matokeo! Sisi huku ni back passes tu mpaka tunataka kufungisha!!Guinesa Bissau dhidi ya Gambia
Watu wanaforce kupeleka mpira mbele
Na duniani kwa ujumlaTanzania ndio timu yenye back passes nying kuliko timu yoyote kwenye afcon hii
Acha tuMakosa wasipoyarekebisha ndio basi tena
Samatta amekwishwa kabisa, hajaisaidia team chochote.
Ingependeza mashindano haya yawe ya MWISHO KWA SAMATTA
Huo ndiyo mpira wa Mgunda sasa wa boli litembee, back passes kama zote. Ukiwaambia hao hao wachezaji wafanye hangaisha bwege, wanashindwa kupiga hata pasi 3 bila kupoteza mpira, watawezaje sasa kuforce shambulizi.Yani nimesikitika sana jana, timu haiwezi kufosi kupeleka mpira mbele. Pass nyingi zinapigwa kurudi nyuma! Kuna muda pasi imetoka katikati karibia timu nzima ipo mbele, sijui ni mzamiru yule akarudisha mpira mpaka kwa manula wakat angeweza kupeleka mbele, aisee nilishangaa sana! Watu wote waliokuwa pale wanaangalia mpira wakabaki wanalaani tu!