Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Hakwenda kwa mwamposa kuombea timu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakwenda kwa mwamposa kuombea timu?
Rage1:7 inasema mbu+mbu+mbu= MBUMBUMBU.Mazembe mkazeni huyo Yanga mpaka huo mwiko utoke hapo nyuma
Basi hapo Yanga watapata sababu utasikia tungefunga ila magoli msingeyaona vizuri tukaamua tuache tu , na kale katoto kamwe sijui kanawaonaje vyura mara kawafunge kamba mara awapake bleach la nywele yani tafraniTutegemee quality mbovu ya picha.
Mechi zote za Tp Mazembe kwenye huo uwanja video zake zinakuwaga kama za vintage
Bora wew umekuwa mkweliIla tukubali tu fighting spirit ya wachezaji wa Yanga kwa sasa ipo chini sana. Am very sorry to say that! Al in all, i wish you all the best.
Mwenye nyimbo ya yanga inafungwaje tafadhali sindikizia huu uzi.....
Hii imeeeee endaaaaaaaaa
Aaaaaahhhh ahhhhhhaaa aaaaaahhhh nyimbo nzuri sana
nini na unashida gani..??KHaa
Dua yako imeenda hiyo.Kula chuma hicho
Tp mazembe 5 yanga 0