FT:TP Mazembe 1-1 Young Africans SC | CAF CL |Stade TP Mazembe | 14.12.2024

FT:TP Mazembe 1-1 Young Africans SC | CAF CL |Stade TP Mazembe | 14.12.2024

🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇🔰

🏆 #CAFCL
⚽️ TP Mazembe🆚Young Africans SC
📆 14.12.2024
🏟 Stade TP Mazembe
🕖 3pm🇨🇩4pm🇹🇿

#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
View attachment 3176171
Kunguru wa Lubumbashi naamini video za mechi ya Tabora dhidi ya Uto na ile Azam dhidi ya Uto mnazo, zitumieni vizuri ili muwabonde hao Utopolo warudi huku wanalia!!

Wamerudi wanalia eeeehhh🎵🎵
Huruma wanatia huruma🎶🎶
IMG_4572.jpeg
 
Yanga akishinda hii mechi niiteni mbwa nimekaa palee..Timu inagawa utamu kama wadada wa sinza
 
Uzuri mchezo wa mpira wa miguu ni wa wazi, kila mtu anaona mapungufu ya timu,kila mtu anatoa maoni,ushauri,wapi paboreshwe,wapi panavuja,mchezaji yupi aongeze juhudi,yupi asicheze yupi acheze namba hii nk. Uzuri khalid aucho na mwenzake mzize wamerudi,job,boka wote wapo. Viongozi nao ni watu,hupitia baadhi ya maoni chanya ya mashabiki wa yanga na kuyafanyia kazi. Mchezo wa leo ni mchezo mpya,tofauti kabisa na mingine,ari,kasi na nguvu mpya. Wananchi sote tunajua class ya wachezaji wetu DIARRA,YAO,BOKA,JOB,BACCA,AUCHO,PACOME,KI,MUDA,DUKE,CHAMA,na wengine ni ya kutisha. HALA YOUNG AFRICANS SC. MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI TIMU YA WANANCHI YOUNG AFRICANS SC. KILA LENYE KHERI YOUNG AFRICANS HUKO DRC.
 
Wewe hadi leo hujaijua tu timu yako, yani yanga huwa wanakuwa na fighting spirit pale wanapocompete na simba tu, hata kwenye ligi yanga ikicheza na simba ndio inakamia zaidi kuliko ikicheza na timu nyingine yoyote

Yani michuano yoyote ambayo simba yupo ndio yanga hutaka kujitutumua hii cafcl simba angekuwepo yanga lazima wangekaza tu, maana wanajua simba robo fainali ni lazima hivyo na wao wasingekubali kuishia makundi, kuna mtu alisema cafcl kuwepo yanga peke yake bila simba hainogi na kuna uwezekano yanga wasifike mbali maana simba anayewapa changamoto hayupo

Mkajifanya kufurahia simba kuangukia cafcc matokeo yake ninyi mmeenda huko mmekosa morali mmebweteka, yote hiyo ni kwa sababu ninyi lengo la kupambana kwenu ni kushindana na simba na kufukuzia rekodi za simba tu na si vinginevyo, ilihali simba yeye anapambana kivyake anaweza kufika mbali kwenye michuano bila yanga kuwepo
Duh aisee upo sawa kichwani binti yangu? Shida ni kwamba mpira umevamiwa na mazuzu ambayo hata mpira hawajawahi kucheza...Mtu yeyote aliyecheza mpira alikuwa anajua kuwa tangu mwanzo wa msimu mpya wa ligi kuu Yanga kaanza kwa kuchechemea san....morali ya wachezaji kupambana ilishuka mno hii inatokana na wachezaji kutumika mno na lilipokuja suala la usajili napo Yanga ikafeli sana kiufupi sajili zote alizozifanya ni kwamba hakuna hata mmoja alieleta kitu kipya hadi sasa
 
Timu inayovaa kijani na njano ipigwe tu. Bao 3+ zitanoga
 
Back
Top Bottom