Kwahiyo mkuu una imani na huyu kocha? Maana mimi nimeangalia wapinzani wetu wote watatu sijaona mpinzani anayetisha wote ni wa kawaida tu ila shida ni uzembe wa Yanga wenyewe ulinzi ovyo, kumalizia ovyo.Mhh Mazembe hawa msimu uliopita walicheza nusu fainali ya CAF Championship. Kocha alikuwa sawa kuanza kwa tahadhari, hivi uliwaona na Al Hilal mechi ya juzi? Walipigwa ila walicheza mpira mwingi sana tena wa kasi, sema ndio hivyo Al Hilal mpira wao hauna vitu vingi, wanakupiga baadae wanaweka basi.
Shida ya Mzize ukimuanzisha kipindi cha kwanza huwa anakera sana maamuzi yake yanakuwa ya ovyo ila muweke kipindi cha pili utampenda anavyowasumbua wapinzani.Kocha angeanza na Mzize na Dibe tangu kipindi cha kwanza tungeshinda hii game. Mara mia kuwa na washambuliaji butu kuliko viungo na wakinbiaji kama musonda
Si utume maombi uwe kocha?Una Diploma A au Pro? Side anahitaji msaada.Punguzeni ngebe mna timu imechoka.Ni sawa na kufundisha fisi kupanda mti.Leo ilikuwa Bakari Ali na Beka Ali.Pipa na mfuniko.Kocha angeanza na Mzize na Dibe tangu kipindi cha kwanza tungeshinda hii game. Mara mia kuwa na washambuliaji butu kuliko viungo na wakinbiaji kama musonda
Hata kama hauna imani nae ila ndiye aliye kuwepo ni mgeni na ngumu kukupa matokeo ndani ya kipindi kifupi. Yanga walipo kosea kumuondoa Gamondi basi hii mistake itaicost Yanga kwa mda fulani kabla ya kukaa sawa.Ila kwa plan aliyo anza nayo alikuwa sahihi, ila akaja jilipua kipindi cha pili.Kwahiyo mkuu una imani na huyu kocha? Maana mimi nimeangalia wapinzani wetu wote watatu sijaona mpinzani anayetisha wote ni wa kawaida tu ila shida ni uzembe wa Yanga wenyewe ulinzi ovyo, kumalizia ovyo.
Hatimaye uto kaponea chupuchupuNiliaga kidogo ila nimesikia makelele nikasrma nije nichungulie humu...
Baah kumbe ntopolo anepigww tayari maamaa
Tp wazembeHawa Mazembe wepesi sana. Wanunue wachezaji, habar ya kusubira academy yao watapoteana.
Teh teh teh π π π Utopolo mmefikia kusema haya ?....haahaaaaaHujui tu gharama ambayo tungeingia endapo tungepoteza hii game.
kwa kifupi tuacheni kwanza. Kazi tunayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si ulikuwa unataka refa amalize labla nyumamwiko hawajauchomoa huo mwiko,ila kwa mbiiiiinde sana wamechomoa.
Si mlisema Tp Mazembe kwa sasa ni wa moto? Mkicheza na hii Mazembe mtakalia kuanzia nne.Leo wamekutana vibonde wametoshana nguvu.
Sasa Sare tena ya kurudisha bao, furaha unapata wapi?Kuna watu Kamdomo kamewaponza, jifunzeni kuweka Akiba
Kocha ana shida gani?Kwahiyo mkuu una imani na huyu kocha? Maana mimi nimeangalia wapinzani wetu wote watatu sijaona mpinzani anayetisha wote ni wa kawaida tu ila shida ni uzembe wa Yanga wenyewe ulinzi ovyo, kumalizia ovyo.
Hakika mmevurugwa nyie watu, alooohHujui tu gharama ambayo tungeingia endapo tungepoteza hii game.
kwa kifupi tuacheni kwanza. Kazi tunayo
Onyesha mechi yoyote ambayo uliwahi kumshinda Mazembe hata ya kirafiki nakupa lakiLeo wamekutana vibonde wametoshana nguvu.
Naona tundu linakuwasha kinoma.Na wewe tuliza kijambio kilichojaa moshi wa shisha wa aziz ki mobeto..
Shisha Bangi Dunga Mihadarati SC , nyinyi mna uwezo wa kuvuta cocaine tu na kujidunga sindano na kushinda bar mnavuta shisha ndicho mnachoweza sio mpira mbwa nyie [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
ππππOnyesha mechi yoyote ambayo uliwahi kumshinda Mazembe hata ya kirafiki nakupa laki
Kwa yule sioni Yanga ikifanya la maana. Hivi wana uhakika ni kocha wa football?Kama uongozi wa Yanga upo serious waangalie namna ya kuzicheza hizi mechi mbili zinazofuata huyu kocha naona kama pambo tu hana uwezo wowote ule hasa kwenye kupanga kikosi na mbinu. Yanga ina fixture nzuri sana aisee kama wanapiga hesabu vizuri wanaweza kufuzu
Hao wapeleke timu yako ya shirikishoWatakosa pa kujitetea. Ule uamuzi wa kumfuta kazi Gamond haukiwa sahihi. Kwa kuwa tuna mechi hadi mwezi 1, timu apewe Mkwasa na Minziro na huyu mwehu wa kizungu aachwe.
Hamna kitu.
Naongeza lakiOnyesha mechi yoyote ambayo uliwahi kumshinda Mazembe hata ya kirafiki nakupa laki