Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ubaya Ubwela FC (mkishafungwa hiyo tarehe nane, mtaitwa UBAYA UBWELILI FC [kingoni]), Nguruwe FC, Ngada FC, Magoma FC.Gongo wazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubaya Ubwela FC (mkishafungwa hiyo tarehe nane, mtaitwa UBAYA UBWELILI FC [kingoni]), Nguruwe FC, Ngada FC, Magoma FC.Gongo wazi
Yanga inapendwa.Yaani mechi ya kirafiki unafungua uzi usiku wote huu?
Kuna jamaa wamanguruwe anawanadi vibaya mnoUbaya Ubwela FC (mkishafungwa hiyo tarehe nane, mtaitwa UBAYA UBWELILI FC [kingoni]), Nguruwe FC, Ngada FC, Magoma FC.
Ndio muandike uzi usiku wa manane mechi ya kirafiki, UJUHAYanga inapendwa.
Acha wivu!!
Ukitaka kujua pita kwenye vibanda umiza jioni ujionee mwenyewe!!
Daima mbele.
Wivu homa..!!Ndio muandike uzi usiku wa manane mechi ya kirafiki, UJUHA
Jamaa katangaza biashara yake kihuni sana wallah..!! Kwasasa anajulikana Tanzania nzima na manguruwe yake. Maana alimuahidi CHama wakati yupo 5imba na Ahmed AllyKuna jamaa wamanguruwe anawanadi vibaya mno
We mbona huwa unaandika mwezi kabla?Ndio muandike uzi usiku wa manane mechi ya kirafiki, UJUHA
Ahmed Ally na Nguruwe tena jamani?Jamaa katangaza biashara yake kihuni sana wallah..!! Kwasasa anajulikana Tanzania nzima na manguruwe yake. Maana alimuahidi CHama wakati yupo 5imba na Ahmed Ally
Simba sisi ni wakubwa, wataalam wa hizi kaziWe mbona huwa unaandika mwezi kabla?
Kamanda umeumia kabisa?
Kazi gani?Simba sisi ni wakubwa, wataalam wa hizi kazi
andaa GB 2 Za kuangalia boli onlineMwenye link tu naomba niangalie hii soka nitashukuru sana maana nipo vijijini
Mechi za maandalizi ndio hizi Sasa sio timu zinatafuta kucheza mechi na timu za daraja la 2 zinazoshuka daraja alafu zinajipambanua kuwa ziko vizuri
Wananchi Yanga SC kucheza mchezo wa pili wa kimataifa, Jumatano hii watacheza na TS GALAXY wenyeji wa mashindano ya Mpumalanga Premier International Cup
Mechi hii itapigwa kuanzia saa 10:00 jioni
PIA SOMA
- Yanga yaalikwa Afrika Kusini kushiriki Mpumalanga Cup
Na ubaya ubwela, zinachezwa kwa vipindi vitatu.Mechi za maandalizi ndio hizi Sasa sio timu zinatafuta kucheza mechi na timu za daraja la 2 zinazoshuka daraja alafu zinajipambanua kuwa ziko vizuri
Ni kukosa kazi, mtu anaamka na uzi wa Yanga unadhani ana majukumu ya kufanya kweli huyo? Ushabiki huu wa kimasikini unapoteza kizazi chetu, hatukatazwi kushabikia team zetu lakini isiwe too much kiasi cha kusahau majukumu mengine.Mbona uzi umekuja mapema mno?
😅ephen anaonewa sanaaKazi gani?
Mnachezeshwa vipindi vitatu?
Kocha wenu ana formation genuine kabisa 🤣🤣🤣
akifika October niite ephen...nimekaa pale!!
Pole sana huenda nakuonea... Nisamehe mimi...😅ephen anaonewa sanaa
Ok, kwahiyo niendelee kulalamika...Sijakwambia wewe lakini🙄