ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga hainisaidii kitu... Usije kuniambia mambo ya mpira...Sikuelewi unaongelea nini! Jikite kwenye mada
'TS Galaxy FC vs Young Africans FC | Mpumalanga cup | kanyamazane Stadium | 24 July 2024'
Azam wametuahidi hii burudani.
Mkuu mechi ya kirafiki umejibu usiku wote ule..Yaani mechi ya kirafiki unafungua uzi usiku wote huu?
Mpira si burudani kwani pana mtu inamsaidia Yanga,Simba au Madrid Mzala vip umevurugwa?Yanga hainisaidii kitu... Usije kuniambia mambo ya mpira...
Saa Kumi kwa masaa ya hapa kwetu..Ni Saa Ngapi Kaka?
Bongo unakuta ni Balozi wa nyumba 10 wana maswali ya ajabu ajabu..Kuna tatizo? Mbona wewe umechangia mapema sana pia kwanini usingesubiri muda unaoona unafaa ndiyo ukachangia?
Angechelewa kuanzisha uzi nini faida yake?
Saa Kumi kwa masaa ya hapa kwetu..
Kipimo kidogo. Saizi yetu huko ni mamelod na orlando.Hii ndo kipimo cha chura sasa
Anapendwa😅ephen anaonewa sanaa
Wananchi Yanga SC kucheza mchezo wa pili wa kimataifa, Jumatano hii watacheza na TS GALAXY wenyeji wa mashindano ya Mpumalanga Premier International Cup
Mechi hii itapigwa kuanzia saa 10:00 jioni
PIA SOMA
- Yanga yaalikwa Afrika Kusini kushiriki Mpumalanga Cup
AminnnnnKila la kheri timu yangu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 sisi sio kama ubwela fc na mwaka huu tunabeba tena ubingwa Cc ephen_
Kama kilivyo kipimo sahihi cha Nguruwe fc kwa timu inayoshika mkia daraja la pili EgyptHii ndo kipimo cha chura sasa
Azam Sports 1 watakuwa live saa 10 jioni. Yanga oyeeee!!!!Itaonekana kwa TV?
Kumbe na wewe ni yangaa☺️Aminnnnn
Kwani muda wa majukumu unafanana?Ni kukosa kazi, mtu anaamka na uzi wa Yanga unadhani ana majukumu ya kufanya kweli huyo? Ushabiki huu wa kimasikini unapoteza kizazi chetu, hatukatazwi kushabikia team zetu lakini isiwe too much kiasi cha kusahau majukumu mengine.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Yaani mechi ya kirafiki unafungua uzi usiku wote huu?
Punguza wivuNi kukosa kazi, mtu anaamka na uzi wa Yanga unadhani ana majukumu ya kufanya kweli huyo? Ushabiki huu wa kimasikini unapoteza kizazi chetu, hatukatazwi kushabikia team zetu lakini isiwe too much kiasi cha kusahau majukumu mengine.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app