FT: TS Galaxy FC 0-1 Young Africans FC | Mpumalanga cup | kanyamazane Stadium | 24 July 2024

Sikuelewi unaongelea nini! Jikite kwenye mada

'TS Galaxy FC vs Young Africans FC | Mpumalanga cup | kanyamazane Stadium | 24 July 2024'​

Yanga hainisaidii kitu... Usije kuniambia mambo ya mpira...
 
Kuna tatizo? Mbona wewe umechangia mapema sana pia kwanini usingesubiri muda unaoona unafaa ndiyo ukachangia?

Angechelewa kuanzisha uzi nini faida yake?
Bongo unakuta ni Balozi wa nyumba 10 wana maswali ya ajabu ajabu..
 
Kila la kheri timu yangu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 sisi sio kama ubwela fc na mwaka huu tunabeba tena ubingwa Cc ephen_
Aminnnnn
 
Kwani muda wa majukumu unafanana?

Unajuaje kama mleta mada muda alioanzisha uzi ndiyo muda wake wa mapumziko baada ya kutoka kwenye majukumu?

Ifikie mahali tusidhani watu wote tuna majukumu yanayofanana kuanzia aina ya majukumu, asili ya majukumu na muda wa majukumu.

Inawezekana kabisa mwingine muda wake wa majukumu ni usiku kucha anatoka asubuhi na mwingine anaingia asubuhi anatoka jioni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…