FT: TS Galaxy FC 0-1 Young Africans FC | Mpumalanga cup | kanyamazane Stadium | 24 July 2024

FT: TS Galaxy FC 0-1 Young Africans FC | Mpumalanga cup | kanyamazane Stadium | 24 July 2024

Subiri mpira kipindi cha pili ndio utawaona watu wa kazi wenyewe. Leo kocha kaamua kila mchezaji acheze na sio matokeo
Wapo waliosajiliwa ambao si watu wa kazi? Maana imebidi niangalie mara mbili mbili ili nijue ni ubovu wa kiwanja au uwezo wa watu wa kazi?
 
Wapo waliosajiliwa ambao si watu wa kazi? Maana imebidi niangalie mara mbili mbili ili nijue ni ubovu wa kiwanja au uwezo wa watu wa kazi?
Waliokufunga home and away zile 5+2 kwani ndio hiki kikosi? Hauni kocha kawaacha ma proo wote nje na haja changanya changanya.
 
Back
Top Bottom