Wapo waliosajiliwa ambao si watu wa kazi? Maana imebidi niangalie mara mbili mbili ili nijue ni ubovu wa kiwanja au uwezo wa watu wa kazi?Subiri mpira kipindi cha pili ndio utawaona watu wa kazi wenyewe. Leo kocha kaamua kila mchezaji acheze na sio matokeo
21Mzize ana miaka mingapi?
Mzee wa Marumo upo!!Bonanza fc
🤣🤣🤣🐸🐸🐸
Naulizia umri toka azaliwe na sio umri toka aanze kucheza mpira wa kulipwa
Kwani huu mtandao ni wa vyura?Uzi wa wananchi huu! Wewe kolo umetokea wapi?
Mwenyewe anasema amezaliwa 2004!!Naulizia umri toka azaliwe na sio umri toka aanze kucheza mpira wa kulipwa
Uzi ni wetuKwani huu mtandao ni wa vyura?
Waliokufunga home and away zile 5+2 kwani ndio hiki kikosi? Hauni kocha kawaacha ma proo wote nje na haja changanya changanya.Wapo waliosajiliwa ambao si watu wa kazi? Maana imebidi niangalie mara mbili mbili ili nijue ni ubovu wa kiwanja au uwezo wa watu wa kazi?
Na jf ni yetu wenyenchiUzi ni wetu