Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa hawalali hovyoKocha wa Prisons anastahili pongezi. Maana ameibadilisha sana hii timu. Kiufupi wanacheza mpira mzuri na wa malengo.
Mbona mechi iliyopita aliingia kipindi cha pili! Ni mpango tu ya kocha wetu Gamondi kuona anafaa kuanza.Bacca amalize fungate tu,Mwamnyeto anakabia macho.
Unajitahidi kuandika pumba sana,sijui ndio kutafuta umaarufu hapa jukwaani au ndio utoto.Yaani mkuu huku nyuma tuna magarasha mengi sana, mwamnyeto, magolikipa wote hawa wawili msheri na mwenzake metacha, fred[emoji706][emoji706]
Pagumu bao 2?Niliwaambia hapa Sokoine pagumu.
Ona Uto wanapoteza muda tu hapa
Anajua alichokifanya vizuri sanaHuyu Refa, baadae akikaa kucheka Marudio ya hii Mechi, atajicheka
mmekoswa koswa sanaKocha wa Prisons anastahili pongezi. Maana ameibadilisha sana hii timu. Kiufupi wanacheza mpira mzuri na wa malengo.
Unacheki ball?Pagumu bao 2?
Tunabebwa bila kubebwa hatufiki popote
Hamna timu hapo,hao tupo nao hadi mwisho wa ligi,wameanza kukata motoNiliwaambia hapa Sokoine pagumu.
Ona Uto wanapoteza muda tu hapa
Mpira magoli hizo nyingine ni ushubwadaUnacheki ball?
Ngapi ngapiWanapelekewa moto Uto
Tunaomba msimamo wa ligiNasikia Gede hata kutuliza mpira hawezi
Mpira umeisha au unasikiliza redio iliyopoteza majiraWanapelekewa moto Uto
FT 1-2Ngapi ngapi