Tanzania ilisema lini inakubali ushoga?Ukizaliwa east Afrika jua ww ni mganda. Kataa ushoga, Uganda for everyone
Taifa limejaa wajinga halafu wajiona werevu🫣🫣 hasara gani hii[emoji24][emoji24]Mwambie huyu zuzu
juzi nasikia cranes wameuawa huko uganda wanaharibu ndoa za watuTwende na Uganda (The Cranes)[emoji3581]
View attachment 2563936
waganda watapigwa 3-1Viva Uganda ushindi lazima
Timu sio kabila
KATAA UTUMWA
Uganda imeupinga ushoga hadharani Hadi hao bwana zenu mabeberu wamebaki kulialia,.Tanzania ilisema lini inakubali ushoga?
Ivi ni kwanini inachezwa misriKaribuni tena katika mechi kubwa ya kimataifa baina ya miamba wa soka hapa Afrika ya Mashariki, Uganda dhidi ya Tanzania katika kutafuta nafasi ya kufuzu Afcon 2023.
Mechi hii itapigwa kuanzia mida ya saa 11 jioni katika dimba la Suez Canal Jijini Ismailia na itarushwa na Azam sports kupitia chanel ya ZBC2
Kuwa nami paka mwisho...
Timu mwenyeji ni Uganda ambao kwa sasa hawana uwanja uliokidhi vigezoKwann inachezwa Ismailia?
Nic ahsante kwa maelezo mazuriTimu mwenyeji ni Uganda ambao kwa sasa hawana uwanja uliokidhi vigezo
Ndo wameamua kucheza Misri
Wanaongezeka kwa sababu walisoma wakafanya mitihani ya multiple choice. Hawawezi ku reason.Hivi kwanini siku hizi wajinga wanazidi kuongezeka Tanzania?
Taifa lina hasara sana hili.