mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
unaona mpira ama unasikiliza mkuuDak ya 10 Mayele hajagusa mpira
Mfungaji katokea eneo lile lile sawa na mfungaji wa bao la jana kwenye game ya Simba
Na header ni ile ile
Sijajua matokeo ya mwisho yatakuwa yale yale au niaje
Hapana mkuu ,, jana simba tumefungwa free header ila hapa kwa yanga jamaa kapiga kichwa katikayi ya mabeki 3Mfungaji katokea eneo lile lile sawa na mfungaji wa bao la jana kwenye game ya Simba
Na header ni ile ile
Sijajua matokeo ya mwisho yatakuwa yale yale au niaje
Nilisema hapa[emoji23][emoji23][emoji23]Mechi inaisha 3-1
Gooooooaaaaaal mimi ni yang'aaaa
Visit Haier
LinarudiiiiiiiiiiOff sideeeeee ilikuwa wapigwe tena
KabisaSio offside ile refa
Timu zetu kuna haja ya kuwa na somo la ziada kujifunza kucheza mipira iliyokufa
wanazubaa sanaTimu zetu kuna haja ya kuwa na somo la ziada kujifunza kucheza mipira iliyokufa
Acha fujo ww. Zungumzia mechi iliyoisha jana alafu useme umeloweshwa. Hii mechi bado mbichiWameloua
Hahaha sawaLinarudiiiiiiiiii