Pole mtaniNiache huko, nimeshavurugwa muda huu πππππ
Au sioNdio ndio Mtani subiria uone vile tunapambania points tatu ugenini.
10' GOOOOOOOOOOOOOO Yanga wanafungwa goli la kwanzaWananchiiii iiiiiiii welcome ....... welcome
Kushuhudia soka safi
Bila uchawi........
Magoal. Ya kutosha
Utabiri
YANGA ANASHINDA 3........0
Yani yaliyomo yamooooooooooooo,wamenyeeshewa na mvuaaaaaaaaaaaaWamelouwaaaa wamelouwaaaa wamenyeshewa na mvuaaaaa
Mnunulie maji ya kunywaKuna mtu wa heshima niko nae hapa alaf n topolo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaaa. Wazungu wana kauli yao wanasema relax.Niache huko, nimeshavurugwa muda huu πππππ
Nani aliwalazimisha msajili wafupi. Kama kigezo cha kuzesha mpira ni urefu sajilini wamasaiπ€£π€£π€£π€£Hawa. Jamaa ni warefu sana
Wamepatikana leo wasee wa bahasha.Mitaa imepoa kinyama [emoji23]