FT: US Monastir 2-0 Yanga SC || CAFCC || Rades, Tunis || 12-02-2023

Tate Mkuu habari za huko ulipo?

Najua unataka kikombe cha maji ya kunywa, lakini bahati mbaya hata kukibeba huwezi🫣🫣🫣 jikaze..[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mm ndio najikaza kuangalia maana wakicheza na ihefu huwa sina vibe la kiangalia naona mchezo wa ngamia na ng'ombe tuu
 
Acha nikachomeke net kabisa mtani saa 3 juu ya alama naingia kulala roho nyeupee.
Naona naona Mtani. 😀
Pole mtani, ila mpira ni dakika 90 tunaweza sawazisha na kushinda
Ahsante Mtani. Wazungu wana kauli yao kwamba itiizi noti ova antili itiz ova. 😀
 
Itoe simba kwenye huu upuuzi. Simba ndio inaiheshimisha nchi wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…