Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapowapo tu. 4-0 sooonKwani Yanga wenyewe wanasemaje
Wanajikita zaidi kwenye fashion show za mavaziKwani Yanga wenyewe wanasemaje
Apewe maji haraka kabla hajaaga dunia kimasihara 😂Wanakufaga hawa
Ndio utajua kwa nini haitwi timu ya taifaMayele ametoka lakini bado yupo ndani
Anayema mate kama ana ujauzitoMnao angalia mechi, azizi funguo leo hajapandisha bukta?
Naona naona Mtani. 😀Acha nikachomeke net kabisa mtani saa 3 juu ya alama naingia kulala roho nyeupee.
Ahsante Mtani. Wazungu wana kauli yao kwamba itiizi noti ova antili itiz ova. 😀Pole mtani, ila mpira ni dakika 90 tunaweza sawazisha na kushinda
Itoe simba kwenye huu upuuzi. Simba ndio inaiheshimisha nchi weweHivi vilabu vya zamani vya kariakoo havina la ajabu vikitoka nje. AIBU TUPU, wale Simba jana walifungwa mapema sana wameshindwa kurejesha na hawa leo naona ndio yale yale.
Tuambizane ukweli hizi club ni fitna tuu ila ubora bado haujawa sawa kulinganisha na vilabu vyengine vya Nchi za kiafrika.
Size yao ni IHEFU na SINGIDA BIG STAR tuuu
Huu uzi ni batili...
Asante mtani, mpira bila mumivu na furaha siyo mpira. Tumezoea kama nyinyi mlivyozoea jana 🤣🤣🤣🤣🤣Pole my dear, ndio namna mtoto hukua. Lazima aanguke kidogo.
Mwaka huu mtavuta mkia kwenye kundi lakini miaka ijayo mtaongoza