Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mechi bado mapema sana,wakibahatika hawa leo sareDaaah
Ndio mpira, ni mchezo wa hadharani na ni dakika 90.Viwili vya faster! Wameunganishiwa mumo kwa mumo
Jamaniii...Binamu usitufanyie hivyo wenzako. Tuna mioyo pia πππππ
nyuma mwiko, guvu moyaDaima mbele
SAWA ila sio kwa upesi hivyoNdio mpira, ni mchezo wa hadharani na ni dakika 90.
Sana tuNdio mpira, ni mchezo wa hadharani na ni dakika 90.
Hapana nipo mkuu,ila nilikuwa barabarani mkuu now nipo live toka TunisiaChukwu emeka upo mbona sikuoni au ndo mpk goli liingie
Maua sama itabidi ushinde nne sasa.Uniite maua sama
Hata ziwe goli 200 haziwezi kubadili matokeo ya Jana Simba kupoteza point 3.Goli chache sana Yanga wanakula Goli sita
Daima mbele πππͺNyuma mwiko
Kauli mbiu yetu iendelee
Mwenge na uangaze mahali popote