MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Unaizungumzia Shimba au Simba s.c klabu ya 10 kwa ubora Afrika.Hivi vilabu vya zamani vya kariakoo havina la ajabu vikitoka nje. AIBU TUPU, wale Simba jana walifungwa mapema sana wameshindwa kurejesha na hawa leo naona ndio yale yale.
Tuambizane ukweli hizi club ni fitna tuu ila ubora bado haujawa sawa kulinganisha na vilabu vyengine vya Nchi za kiafrika.
Size yao ni IHEFU na SINGIDA BIG STAR tuuu
Iliyofika robo fainali ligi ya mabingwa mara mbili?