OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #581
Mkuu hukuona hatari kwenye kona ya mwisho ya MonaKuna mechi tofauti unaangalia mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hukuona hatari kwenye kona ya mwisho ya MonaKuna mechi tofauti unaangalia mkuu?
Mmeanza visingizioNilipoona tu hicho kikosi,nilijua leo tunafungwa. Prof. Nabi ana makusudi sana
Mfuate diemuKuna mtu anatype lakini msg hazifiki
Ha ha ha.
Siyo kuscore tu,kupata matokeo kabisa
Maneno meengi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2] Nilipoona tu hicho kikosi,nilijua leo tunafungwa. Prof. Nabi ana makusudi sana.
Mechi ya ugenini kama hiyo, alitakiwa kucheza na viungo wachezeshaji na wale wakabaji wengi mfano Mudathir Yahaya, Farid Mussa, na hao alio anza nao! kwa lengo la kumiliki mpira na pia kupunguza mashambulizi. Sasa anawapanga Kisinda na Moloko, halafu ayegemee matokeo!
Uzuri na nyinyi mlifungwa jana! Hivyo tutagawana maumivu. Mimi hata mpira wenyewe siangalii.
Mlianza kupenda timu kabla ya kupenda mpira kwanza ndio shida ya wengi wenu.SAWA ila sio kwa upesi hivyo
Game mmetawala vizuri hakuna sehemu utaweza kumlaumu kocha😃😃 Nilipoona tu hicho kikosi,nilijua leo tunafungwa. Prof. Nabi ana makusudi sana.
Mechi ya ugenini kama hiyo, alitakiwa kucheza na viungo wachezeshaji na wale wakabaji wengi mfano Mudathir Yahaya, Farid Mussa, na hao alio anza nao! kwa lengo la kumiliki mpira na pia kupunguza mashambulizi. Sasa anawapanga Kisinda na Moloko, halafu ayegemee matokeo!
Uzuri na nyinyi mlifungwa jana! Hivyo tutagawana maumivu. Mimi hata mpira wenyewe siangalii.
Hahahahaaa. Halafu wote ni mikia.Ona wanavyo gombania ku type😁😁View attachment 2515109
Weka jino jingine.Naliona pengo la Feisali
Ukiwa na Timu mbovu huu msemo unasimama vizuriMkuki kwa kitimoto kwa binadamu mchungu haswaaaa
Sasa itakuaje kwa wale mashabiki wilioko Jangwani kwenye bigi skrini?
We tulia watakimbia tu hapaHahahahaaa. Halafu wote ni mikia.
Umejua kunichekesha Mkuu. Lol
Punguza hasira mkuuMimi hata mpira wenyewe siangalii.
Ubovu wenu leo umejidhihirisha ndani ya dkk 16Ukiwa na Timu mbovu huu msemo unasimama vizuri