Ikiwa kigezo cha mpira ni urefu sajilini Morani wa kimaasaiπ€£π€£π€£Kimo cha beki zetu ndio kimetugharimu. Hili ni janga la wachezaji wote wa kitanzania Wana vino vifupi, anyway mechi bado tuna Dak 45 zingine za kujiuliza...... [emoji617][emoji617]Daima mbele
HatimayeMayele......kepa anasevu hapa
Tulia uinjoi gameNyoka nyoka
Mpigie basi pengine hana bando ndio maana hayupo hapa, tunaweza kuchanga anunue bando tuserebuke pamoja wana Lunyasi nguvu moja.
Nunua pop corn kabisa
Aaah wametupiga timing Moja ya kibabe sana[emoji24][emoji24].. ila Wananchi tunaweza fanya kitu just wait an seeMkuu mbona mapema sana [emoji23]
Daima mbele πππͺHatimaye
Khaa, sauti haitoki, tafuta maji unywe[emoji1787][emoji1787]Ni mkuu. [emoji881] Guvu moja
Vipi mkiaMwanaume kala Sugunyo ndani ya dk 16 tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuenjoy nini sasa mikimbio?Boli mnaenjoi sema hamtaki kusema tu ππ
Haya mambo mbona huwa hauyajui kabla ya game? Maana ulikuwa una brag sana kuhusu usajili wenu mzuri na ukadai hakuna team ya kuwasumbua.Hivi mnadhani mnapowarogaga wenzenu Kwa Mkapa kwamba na wao hawajui kutumia uchawi kwenye home ground?
Mechi za Africa kupata matokeo away ujipange hasa, otherwise labda upangwe na timu nyepesi kama Zalan na De Agosto unampiga mtu 3 nyumbani kwake.
Kama huko kwenu[emoji1787]Kwani huko kwenu mpira unachezwa dk ngapi?